RAIS SAMIA ANAWAJIBIKA UJENZI WA VYUO VYA UFUNDI - VETA NCHINI.
Ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) umefungua Fursa kwa vijana kujifunza fani mbalimbali. Huu ni uwekezaji Mkubwa katika kuimarisha vyuo vya ufundi ili ķujenga uwezo kwa Vijana kujiajiri na kuajiriwa.
#RaisSamiaAnawajibikaUjenziWaVyuoVyaUfundi.
Ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) umefungua Fursa kwa vijana kujifunza fani mbalimbali. Huu ni uwekezaji Mkubwa katika kuimarisha vyuo vya ufundi ili ķujenga uwezo kwa Vijana kujiajiri na kuajiriwa.
#RaisSamiaAnawajibikaUjenziWaVyuoVyaUfundi.