Rais Samia anaweka historia mpya katika Sekta ya Elimu

Rais Samia anaweka historia mpya katika Sekta ya Elimu

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Rais Samia anaenda kuweka historia nyingine mpya katika sekta ya elimu licha ya maboresho makubwa yaliyofanyika katika kipindi cha mwaka 2021/22 kwa sekta ya Elimu, tayari serikali imepanga kutumia kiasi cha takribani Trilioni 2.78 katika miradi ya maendeleo ya Elimu.

pia Kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) serikali imepanga kutumia Trilioni 1.2 ili kuwezesha upatikanaji wa Elimu, ikiwa ni pamoja na mazingira salama ya wasichana kupata elimu.

Vilevile kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Awali na Msingi (BOOST) serikali imepanga kutumia Trilioni 1.15 kwaajili ya kuboresha mazingira ya kujifunzia na miundombinu katika shule za umma za awali na msingi.

Na mwisho utekelezaji wa program ya Elimu kwa matokeo awamu ya pili (EP4R II) ambapo kiasi cha takribani
Bilioni 435.90 kinalenga kuendeleza ujenzi wa madarasa, vyoo, mabweni na nyumba za walimu.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inalengo la kupambana na kuuondoa kabisa ujinga ndio maana inawekeza katika elimu
 
Ni Jambo Jema.. lakini ambacho kinanishangaza mm kama mwananchi, yaan Hadi leo hii Tangu TZ ipate uhuru bado shule za SERIKALI zina Uhaba wa madawati, Miundo mbinu mibovu, et Matundu ya Vyoo, Uhaba wa waalimu (na waalimu wengi hawana ajira wapo mitaani).

Anyway! Tutafika tu.
 
Safi, hiyo ya nyumba za walimu ni muhimu sana. Kuna sehemu kuna viporo vya nyumba za walimu tangu 2013 hadi leo havijamalizwa!
 
Ni Jambo Jema.. lakini ambacho kinanishangaza mm kama mwananchi, yaan Hadi leo hii Tangu TZ ipate uhuru bado shule za SERIKALI zina Uhaba wa madawati, Miundo mbinu mibovu, et Matundu ya Vyoo, Uhaba wa waalimu (na waalimu wengi hawana ajira wapo mitaani).

Anyway! Tutafika tu.
Tangu tz ipate uhuru,watoto wanaosoma msingi ni walewale!?
 
Unadhani tunaitwa nchi masikini kwa kubatizwa tu!?
Sisi ni Nchi Maskini ndio, Lakini kuna Vitu vya kupewa kipaumbele zaidi ili maisha ya hii jamii maskini ya Tanzania yawe na unafuu

"Maadui wakubwa wa Nchi hii ni UJINGA, UMASIKINI NA MAGONJWA"

Mwl.J.K.Nyerere
 
Sisi ni Nchi Maskini ndio, Lakini kuna Vitu vya kupewa kipaumbele zaidi ili maisha ya hii jamii maskini ya Tanzania yawe na unafuu

"Maadui wakubwa wa Nchi hii ni UJINGA, UMASIKINI NA MAGONJWA"

Mwl.J.K.Nyerere
Kwa hiyo kupiga Vita hao maadui ni kuelekeza nguvu zote(kipaumbele) kwenye elimu!?
 
Tatizo la Tanzania si Madarasa

Tatizo ni Elimu bora

Elimu yetu ni ya kufurahisha wanasiasa,wazazi,wanafunzi, jamii

Haimsaidii mtu ndio maana mtu anamaliza chuo hata barua hajui andika

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia anaenda kuweka historia nyingine mpya katika sekta ya elimu licha ya maboresho makubwa yaliyofanyika katika kipindi cha mwaka 2021/22 kwa sekta ya Elimu, tayari serikali imepanga kutumia kiasi cha takribani Trilioni 2.78 katika miradi ya maendeleo ya Elimu.

pia Kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) serikali imepanga kutumia Trilioni 1.2 ili kuwezesha upatikanaji wa Elimu, ikiwa ni pamoja na mazingira salama ya wasichana kupata elimu.

Vilevile kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Awali na Msingi (BOOST) serikali imepanga kutumia Trilioni 1.15 kwaajili ya kuboresha mazingira ya kujifunzia na miundombinu katika shule za umma za awali na msingi.

Na mwisho utekelezaji wa program ya Elimu kwa matokeo awamu ya pili (EP4R II) ambapo kiasi cha takribani
Bilioni 435.90 kinalenga kuendeleza ujenzi wa madarasa, vyoo, mabweni na nyumba za walimu.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inalengo la kupambana na kuuondoa kabisa ujinga ndio maana inawekeza katika elimu
"Inapabga" kutumia!

Anachoweza ni kusomesha waliopata mimba tu
 
Ni Jambo Jema.. lakini ambacho kinanishangaza mm kama mwananchi, yaan Hadi leo hii Tangu TZ ipate uhuru bado shule za SERIKALI zina Uhaba wa madawati, Miundo mbinu mibovu, et Matundu ya Vyoo, Uhaba wa waalimu (na waalimu wengi hawana ajira wapo mitaani).

Anyway! Tutafika tu.
Serikali ya Rais Samia Suluhu imetatua matatizo yote yaliyokuwepo na badoi inaendelea kufanya utekelezaji pia imepitisha ajira za walimu zaidi ya elfu 42 lengo ni kuimarisha sekta ya elimu na kuondoa au kupunguza tatizo la ajira nchini
 
Tatizo la Tanzania si Madarasa

Tatizo ni Elimu bora

Elimu yetu ni ya kufurahisha wanasiasa,wazazi,wanafunzi, jamii

Haimsaidii mtu ndio maana mtu anamaliza chuo hata barua hajui andika

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hii elimu unayoiongelea wewe ni ya zamani lakini katika serikali hii ya Rais Samia Suluhu elimu ni bure lakini bora tena maana walimu wa kutosha wameajiriwa pia mazingira ya kusomea yameboreshwa
 
Rais Samia anaenda kuweka historia nyingine mpya katika sekta ya elimu licha ya maboresho makubwa yaliyofanyika katika kipindi cha mwaka 2021/22 kwa sekta ya Elimu, tayari serikali imepanga kutumia kiasi cha takribani Trilioni 2.78 katika miradi ya maendeleo ya Elimu.

pia Kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) serikali imepanga kutumia Trilioni 1.2 ili kuwezesha upatikanaji wa Elimu, ikiwa ni pamoja na mazingira salama ya wasichana kupata elimu.

Vilevile kupitia mradi wa kuboresha Elimu ya Awali na Msingi (BOOST) serikali imepanga kutumia Trilioni 1.15 kwaajili ya kuboresha mazingira ya kujifunzia na miundombinu katika shule za umma za awali na msingi.

Na mwisho utekelezaji wa program ya Elimu kwa matokeo awamu ya pili (EP4R II) ambapo kiasi cha takribani
Bilioni 435.90 kinalenga kuendeleza ujenzi wa madarasa, vyoo, mabweni na nyumba za walimu.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inalengo la kupambana na kuuondoa kabisa ujinga ndio maana inawekeza katika elimu
Chanzo cha fedha ni kipi mkuu?
 
Safi, hiyo ya nyumba za walimu ni muhimu sana. Kuna sehemu kuna viporo vya nyumba za walimu tangu 2013 hadi leo havijamalizwa!
kwakua kipaumbele cha serikali ya awamu ya sita ni kuimarisha elimu lazima zitaendelea kujengwa na kuboreshwa
 
Hapana, Kama wanafunzi wanavyobadilika basi na miundombinu, iboreshwe na kuongezwa sawa na idadi na mahitaji ya wanafunzi.
Ndio maana Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuboresha mazingira ya kutolea elimu (shule) na nyumba za walimu
 
Kama mnaboresha elimu mbona watoto wenu bado wako Feza?!
 
Back
Top Bottom