Rais Samia anaweka historia mpya katika Sekta ya Elimu

Rais Samia anaweka historia mpya katika Sekta ya Elimu

Hii elimu unayoiongelea wewe ni ya zamani lakini katika serikali hii ya Rais Samia Suluhu elimu ni bure lakini bora tena maana walimu wa kutosha wameajiriwa pia mazingira ya kusomea yameboreshwa
Ao walimu wakutosha umewaona wap kuna shule kibao zina walimu 2 mwisho 4 miaka nenda rudi
 
Ao walimu wakutosha umewaona wap kuna shule kibao zina walimu 2 mwisho 4 miaka nenda rudi
Sasa wewe umekariri ndugu yangu walimu wengi sana wameajiriwa na bado serikali inaongeza wengine zaidi ya elfu 42
 
Back
Top Bottom