Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

Leo naona umeamua kumdhalilisha,

Kule pwani ELIMU Si kipaumbele, wao waimbie taarab mtaelewana!!
Wewe ndio Muimba taarabu na mpiga porojo uliyejaa na kujawa na wivu na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi.
 
Chizi huyo, mama kama anajiheshimu amalizie muda wa Magufuli apumzike tu.

Nchi za dunia ya tatu iliyojaa majizi haiwezi kuongozwa na mwanamke hii ni fact, huwezi kupingana na ukweli.
Bila shaka umekosa adabu hadi kwa mama yako mzazi.Itakuwa una laana ya mama yako.jitajidi kuwa na heshima na adabu.heshima ni kitu cha bure.
 
Anaweza kuhutubia au kusoma hotuba?
 
Anaweza kuhutubia au kusoma hotuba?
Rais wetu mpendwa anaweza kuandaa mwenyewe na akatoa hotuba lakini pia anaweza toa hotuba hata pasipo kusoma kile alichoandika kwa mkono wake mwenyewe,maana Rais wetu ni akili mkubwa na mtu mwenye upeo na maarifa mapana sana
 
Hivi wewe huwa ni binadamu kweli au ni robot ya mashoga na wasagaji
 
acha huko majuu c dhani hatakama anaweza kutoa muhadhara pale chuo cha MUM watu wenye akili wakamwelewa
 
Too much of everything is harmful!!


Umezidi uchawa wakupandishe cheo uwe kunguni kabisa.

JamiiForums acheni kuendekeza upuuzi wa namna hii kama Taifa hautatufikisha popote


Na log out
Kuna jamii ya chawa wnapatikana kwenye โ€œpubic areaโ€.

Hawa ni zaidi ya chawa kiasi cha kufananishwa na crabs au kaa.
 
๐Ÿ˜ˆ๐Ÿ˜ˆ๐Ÿ˜ˆ
 
acha huko majuu c dhani hatakama anaweza kutoa muhadhara pale chuo cha MUM watu wenye akili wakamwelewa
Rais Samia ni akili kubwa na ndio maana vyuo vikubwa kabisa vimempatia Udaktari wa Heshima, kwa kutambua uwezo wake na uongozi wake thabiti ulioleta matokeo chanya kwa Taifa letu na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ