Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

Mtatufanya tuache kutembelea hili Jukwaa kwasababu ya huu upuuzi wenu mnaotuletea hapa🚮.
Nani alikulazimisha kuingia humu? Mchango gani ulioutoa kuanzisha jukwaa hili? Unatoa shilingi ngapi kwa mwezi kuchangia mishahara ya watumishi wa humu? Ondoka hata dakika hii uone kama jukwaa hili halitaendelea kuwepo ondoka haraka sana humu maana huna faida yoyote ile
 
Hivi kwanini hamuonagi shida kufichua kiwango cha ujinga wenu? 🚮
 
Too much of everything is harmful!!


Umezidi uchawa wakupandishe cheo uwe kunguni kabisa.

JamiiForums acheni kuendekeza upuuzi wa namna hii kama Taifa hautatufikisha popote


Na log out

Maandiko yake yanakupahisia ni mtu mnafiki wa kiasi gani. Hata huyo anayefanyiwa huu unafiki, nina hakika akiona takataka kama hizi, atakuwa anajawa na hasira. Hii ni kumfanya anayefanyiwa unafiki, ni mtu ambaye hana akili.

Ni sawa mtu aje kwangu Bams, aniambie, Bams unajuwa, wewe ndiye mtu tajiri kuliko mtu mwingine yeyote katika bara la Afrika. Kwa vyovyote nitamwona huyo mtu ni mtu mnafiki punguani. Ni nitamchukia kwa kuniona mimi nimekosa akili kiasi cha yeye kuona kuwa naweza kuuamini huo upuuzi wake.

Tumsamehe, hajitambui. Kuna wakati umaskini wa kipato wa kupindukia, husababisha umaskini wa akili, hekima, na reasoning.
 
Chuki binafsi ndio kitu kinakutesa sana ewe mfuasi wa chama kile kilichopoteza muelekeo na kuendelea kudumaa kila uchwao
 
Anaweza kutoa mhadhara. Ila tunataka kujua utakuwa muhadhara wa nini? Nyie watu, watanzania tunataka maendeleo. Watanzania tunataka uwajibikaji. Watanzania tunataka viongozi waadilifu.
Endeleeni kudanganyana na haya maandishi mengi yasiyo na tija. Muda unakwenda na huwa haurudi nyuma. Mkiendelea kufikiria kila kitu kiko sawa, msilaumu mtu. majuto mjukuu
 
Kama wewe ni akili ndogo huwezi ukaelewa hoja na kuona hoja,ni kwenye afya ya akili ndio anaweza kuelewa nilichokiandika.

Wewe kwa huu upuuzi unaoweka humu, jihesabie ni punguani wa kutupwa. Sasa sijui ni upunguani wa kuzaliwa au uliosababishwa na kukata tamaa ya maisha, yaani yule mtu anayesema nipo tayari kufanya lolote alimradi tu nipate chochote ili niishi.
 
what is economic benefit ya havard presentation, juzi matajiri walikuwa Kigali kwenye africa economic forum and was very successful, hatuhitaji viongozi wetu ku line up europe.

Ruto alienda US muda mchache umepita. And yet, jana amesalimu amri. Serikali iangalie namna ya kupunguza matumizi ili kupunguza ukali wa maisha.
Safari za kwenda kutoa mihadhara ya kukopeshwa na hela zinaishia kwenye matumizi ya kawaida, ni kuwasaliti watu wanaoongozwa.
 
Mimi nipo vizuri na ndio maana nashusha NONDO zinazowatoa jasho.

Wehu wote wanaookota makopo na kusimama katikati ya barabara huwa wanaamini wapo timamu.

Zingatia ushauri wa wanaokuambia uende hospitali. Kijana hupo sawasawa kichwani. Tunaokushauri kwenda hospitali, tunakutakia mema. Hakuna mtu mwenye akili timamu hata mmoja ambaye anaeweza kuudhalilisha utu wake, kama ufanyavyo.
 
Nadhani kwa kuwa Mama yuko humu,tumuombe kama anatusikia akupe kateuzi fulani ili upumue!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…