Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

Nadhani kwa kuwa Mama yuko humu,tumuombe kama anatusikia akupe kateuzi fulani ili upumue!

Hata mteuzi akiona upuuzi kama huu anaoandika, hawezi kuelekeza hata apewe u-VEO.

Kwa mtu anayetaka kumsaidia Mwashambwa, ni kumsaidia kumpeleka hospitali nzuri Duniani kwenye masuala ya matibabu ya afya ya akili. Huo ndio msaada mkubwa unaiweza kuwa na tija kwake.

Kumpa nafasi yoyote ya kiutendaji, hata kama ni Utendaji wa Kijiji, itakuwa ni kumtafutia matatizo makubwa.
 
Wewe ndiye unapaswa kwenda hospitalini
 
Hivi huna ndugu, jamaa, au familia ambayo inaona hiki unachokifanya? Walah ungekuwa mkurya sasa hivi ungekuwa hahali ya funza na mchwa.
 
Usimfananishe Rais wetu mpendwa na kiongozi yeyote yule Barani Afrika.maana Rais wetu ni level nyingi,ni kiongozi na nusu,ni kiongozi aliyebeba Matumaini ya watanzania,ni kiongozi ambaye kama Bara la Afrika ingekuwa nchi moja basi Rais wetu ndiye angekuwa Rais wa Afrika
 
Punguza njaa unakera sana. Nakuombea ugongwe na nyoka au inge ufe kabisa
Nimekusamehe kabisa maana apangaye siku za kuishi mwanadamu hapa Duniani ni Mungu pekee na siyo Mwanadamu.angalia uyazungumzayo yasije yakupata wewe au mwana familia yako leoleo
 
Nimekusamehe kabisa maana apangaye siku za kuishi mwanadamu hapa Duniani ni Mungu pekee na siyo Mwanadamu.angalia uyazungumzayo yasije yakupata wewe au mwana familia yako leoleo
Mkuu omba nisijue unaposhi, unastahili kufa ww
 
Inabidi Rais akutupie ka-kipande ka keki ya taifa kwa hizi jitihada unazoonyesha😄
Rais wetu ni akili kubwa sana , tuendelee kumuunga mkono kwa kazi kubwa anayoifanya katika kuliongoza Taifa letu na kuleta matumaini kwa mamilioni ya watanzania.
 

Kwa ELIMU hii hii ya Mzumbe ....!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…