Rais Samia aondoka kwenda Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni

Rais Samia aondoka kwenda Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni

Alizikosa sana na sasa ni wakati wake kufanya utalii wa kimataifa
Wakati wa mwendazake mbona alikuwa anasafiri sana, ndio alikuwa anamwakilisha kwenye matukio ya nje ya nchi
 
Naanza kumwelewa sasa Bi Mkubwa aliposema eti Bulldozer ni mwalimu wake, alimfundisha akafundishika --- kumbe alikuwa anamaanisha alielewa na kupenda zile heko za safari alizokuwa akipewa kuhudhuria ziara mbalimbali ughaibuni. Safari (safari tuuu, regardless of faida husika) is arguably the best and the only thing Bi Mkubwa can perform VERY well.
Tetetetetete
 
Hajatembelea mradi hata mmoja wa kimaendeleo toka aingie madarakani kama kiongozi mkuuu, hajakutana na wananchi hata mmoja zaidi ya wale wazee ambao walikuwa wanamsikiliza tu ! si kusema shida zao dah kutwa yupo juu ya Ndege tu mwenzie alikuwa anatumia gari huku anatatua kero za wananchi njiani dah 37/5 itatutesa sana
Acha mawazo ya kitoto, unataka aende Uganda na bodaboda?. Museveni alikuja kuhudhuria kuapishwa kwa hayati Magufuli, unataka Rais awetu asusie kuapishwa kwake?.
 
Ujinga huu ukiendelea tutarudi nyuma hatua tatu ndo maana tutamkumbuka Sana mwendazke kwani mambo Kama hata alikuwa hayataki kabisa
Mama anapiga misele tu hataki tabu.
Mkwere Og
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu, Ameondoka leo kwenda Uganda kuhudhuria Sherehe za Kumuapisha Rais alishinda uchaguzi inchini Uganda, Yoweri Kaguta Museveni.

Ikumbukwe jana ubalozi wa Ujerumani inchini Uganda ulilazimika kufuta Post yake kwenye ukurasa wake wa Facebook, Kurasa huo uliandikwa Salamu za kumpongeza Mseven kwa ushindi aliouoata kwenye uchaguzi ulipita, Salamu hizo zilizotolewa na Kiongozi wa Ujerumani Mama Angela Merkel.

Ubalozi uli huo ulifuta post hiyo baada ya wananchi kuonyesha hasira zao kwa maneno makali na matusi hali iliyopelekea kufutwa kwa post hiyo.


=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameondoka asubuhi hii kwenda nchini Uganda ambapo leo tarehe 12 Mei, 2021 atahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika uwanja wa sherehe wa Kololo Jijini Kampala.

Hizi safari hazina mantiki kwa Tanzania.

Mh Rais hakagui miradi ya SGR, Bwawa la Nyerere, Vituo vya afya, miradi ya maji wala siku hizi hazitangazwi kwenye vyombo vya habari kama ilivyokuwa inafanywa.

"Malkia mwenye maneno matamu..."-TAL
"Mtanikumbuka kwa mambo mazuri sio mabaya..."JPM

Mh Rais atumikie wananchi waliochagua chama chake, ukimya wao asifikiri ni shwari, kutuma wasaidizi wafanye kazi hizo zinamnyima kupigiwa kura kama yeye......huo ndio ukweili unaosemwa chinichini
 
Dah...hizi Safari mnaandika lakini? Maana za JK tulizihesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata hizi zina counter inaendelea na kazi kimyakimya huko, kumbuka hesabu zilisema JK alikuwa ughaibuni kwa 5 years katika uongozi wake wa miaka 10
 
Majaliwa atakuwa anaishia Chato kukagua kaburi. Hakuna kukaimishwa wala kutumwa nje.
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu, Ameondoka leo kwenda Uganda kuhudhuria Sherehe za Kumuapisha Rais alishinda uchaguzi inchini Uganda, Yoweri Kaguta Museveni.

Ikumbukwe jana ubalozi wa Ujerumani inchini Uganda ulilazimika kufuta Post yake kwenye ukurasa wake wa Facebook, Kurasa huo uliandikwa Salamu za kumpongeza Mseven kwa ushindi aliouoata kwenye uchaguzi ulipita, Salamu hizo zilizotolewa na Kiongozi wa Ujerumani Mama Angela Merkel.

Ubalozi uli huo ulifuta post hiyo baada ya wananchi kuonyesha hasira zao kwa maneno makali na matusi hali iliyopelekea kufutwa kwa post hiyo.


=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameondoka asubuhi hii kwenda nchini Uganda ambapo leo tarehe 12 Mei, 2021 atahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni katika uwanja wa sherehe wa Kololo Jijini Kampala.

Siku nilipoona ile twit yake ya "nimewasili dar" nikajua tu kinachofuata, kwa sasa ni kama ame out source majukumu yake
 
Hizi safari hazina mantiki kwa Tanzania.

Mh Rais hakagui miradi ya SGR, Bwawa la Nyerere, Vituo vya afya, miradi ya maji wala siku hizi hazitangazwi kwenye vyombo vya habari kama ilivyokuwa inafanywa.

"Malkia mwenye maneno matamu..."-TAL
"Mtanikumbuka kwa mambo mazuri sio mabaya..."JPM

Mh Rais atumikie wananchi waliochagua chama chake, ukimya wao asifikiri ni shwari, kutuma wasaidizi wafanye kazi hizo zinamnyima kupigiwa kura kama yeye......huo ndio ukweili unaosemwa chinichini
Ceremonial President. JK style.
 
Mama mbona hatulii kabisa ofisini hizo per diem watu wanajitafunia tu burebure ili hali kuna wananchi masakini huko dodoma wanakunywa maji yenye tope.

Hakika JPM ataendelea kuishi mioyoni mwa watanzania mengi.
Dodoma wana mbunge wao ambaye ni spika.
Dodoma ni makao makuu ya nchi
 
Airbus tamu tamu sana, hata mkinuna, ni furaha yangu mie....
 
Acha mawazo ya kitoto, unataka aende Uganda na bodaboda?. Museveni alikuja kuhudhuria kuapishwa kwa hayati Magufuli, unataka Rais awetu asusie kuapishwa kwake?.
Kati ya kuapishwa na msiba upi wenye Nguvu? Bakizeni ata akili kidogo mnapompenda mtu maana mmekuwa kama vichaaa
 
Dah...hizi Safari mnaandika lakini? Maana za JK tulizihesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaaah! Ilikuwa inafurahisha sana! Anastahili pongezi sana aliyeanzisha thread ile!
 
Hizi safari hazina mantiki kwa Tanzania.

Mh Rais hakagui miradi ya SGR, Bwawa la Nyerere, Vituo vya afya, miradi ya maji wala siku hizi hazitangazwi kwenye vyombo vya habari kama ilivyokuwa inafanywa.

"Malkia mwenye maneno matamu..."-TAL
"Mtanikumbuka kwa mambo mazuri sio mabaya..."JPM

Mh Rais atumikie wananchi waliochagua chama chake, ukimya wao asifikiri ni shwari, kutuma wasaidizi wafanye kazi hizo zinamnyima kupigiwa kura kama yeye......huo ndio ukweili unaosemwa chinichini
Rais anao wasaidizi wake wanaoendelea na kazi wakati yeye anapohudhuria shughuli ya kuapishwa ya Museveni.

Huwezi kukwepa kushirikiana na jirani yako unayetegemea bomba la mafuta kutoka nchi yake lipitishwe ndani ya nchi yako.

Huwezi kumkwepa Museveni ambaye raia wa Uganda wana muingiliano mkubwa na sisi watanzania.

Hiyo miradi inaweza kukaguliwa na Majaliwa na waziri Kalemani.
 
Back
Top Bottom