Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Wewe ndio unaongea kama kichaa. Aweze kuhudhuria kuapishwa pale Dodoma halafu rais wako asiende kuhudhuria kuapishwa kwake kwao Uganda?Kati ya kuapishwa na msiba upi wenye Nguvu? Bakizeni ata akili kidogo mnapompenda mtu maana mmekuwa kama vichaaa
Sheria zao zinaruhusu uchaguzi/ushindi wa Rais kupingwa mahakamani. Kuna kesi zilikuwa zinaendelea labda ndizo zimecheleweshaKumbe Yoweri alikuwa hajaapishwa? Mbona imechukua muda mrefu sana?
AseeeeMajaliwa atakuwa anaishia Chato kukagua kaburi. Hakuna kukaimishwa wala kutumwa nje.
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuwasukuma mna hasira sana na Mama , mtavimba masaburi ayo kwa hasira , misukule ya dikteta mwizi
Alikwambia CHEDEMA ni Mbowe, Lema nani? CHELADEMA ni mioyoChadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
Nenda mama. Jenha mahusiano na majirani, Africa na dunia nzima. Tanzania siyo kisiwa kama alivyotaka ndugu yule.
Mfuasi wa Jiwe at work .Mmmh Jaman , mdomo koma, huyu Mama mbona anapenda sana ndege Jaman , utadhan za Baba ake mxieew ushamba tu si atume wawakilishi
Mwacheni mama akate anga mbona mwendazake mlishamsema kuwa hatoki,, sasa Mh Rais huyu anatoka mmeanza tena maneno, watu bhana!!!Mmmh Jaman , mdomo koma, huyu Mama mbona anapenda sana ndege Jaman , utadhan za Baba ake mxieew ushamba tu si atume wawakilishi
Sawa, ila mungu wenu wasukuma ndio alikuwa kubwa la madikteta jinga na lishambaChadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu