The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Machi, 2025.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genge la wapigaji tu hiloRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Machi, 2025.
![]()
![]()
![]()
View attachment 3262635![]()
![]()
Hivi huwa wanadiscuss jambo lolote lenye tija kweli au ni photo opsGenge la vilaza likiongozwa na kilaza mkuu
Nchi isingekuwa inamadeni kiasi hicho huku hakuna kinachofanyikaHivi huwa wanadiscuss jambo lolote lenye tija kweli au ni photo ops
Wenzao wakitoka kwenye vikao kama hivyo........Viongozi wetu wanachekesha sana.walivyo makini kusikiliza unaweza kufikiri wanafanya mambo makubwa ya kimaendeleo ya Nchi kumbe hakuna kitu Cha maana watakachofanya zaidi ya kuwaumiza watanzania
Picha ya 4 toka juu, hivi Mkuchika bado ni Waziri!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Machi, 2025.
![]()
![]()
![]()
View attachment 3262635![]()
![]()
KibuduHivi ikulu ya Dodoma ndio ishajifia?
Wao Wanawaza KuraMvua zimekataa. Huu ni mwaka wa njaa. Je wana mpango gani?
Sisi wananchi kama waajiri wao na uwajibikaji kwetu. Ingawa nikili sijui huwa wanajadili nini.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Machi, 2025.
![]()
![]()
![]()
View attachment 3262635![]()
![]()