Rais Samia apokea taarifa ya Mradi wa REA awamu ya 3 na kuzungumza na wananchi wa Iramba, leo Oktoba 17, 2023

Rais Samia apokea taarifa ya Mradi wa REA awamu ya 3 na kuzungumza na wananchi wa Iramba, leo Oktoba 17, 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya Mradi wa Umeme Vijijini REA awamu ya tatu mzunguko wa pili kuungumza na wananchi wa Wilaya ya Iramba, Eneo la Shule ya Msingi Shelui leo tarehe 17 Oktoba, 2023.


Eng. Hassan Said, Mkurugenzi Mkuu wakala wa Nishati Vijijini amesema hadi mwaka 2020, 70% ya maeneo ya vijiji vyote nchini yalikuwa yamefikiwa na umeme. Tanzania ina jumla ya vijiji 12,318 ambapo hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Septemba 2023, vijiji 10987 ambavyo ni sawa na 90% tayari vilikuwa vimefikishiwa umeme.

Vijiji 1331 ambavyo ni sawa na 10% tayari wakandarasi wapo wakitekeleza mradi huu.

F8ohCezXkAAVPl_.jpg

Wananchi wa Shelui pamoja na Vijiji Jirani wakiwa kwenye Mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Shelui Mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023.
F8ogdaHWEAAVYrP.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Iramba kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Shelui katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi Mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya Mradi wa Umeme Vijijini REA awamu ya tatu mzunguko wa pili kuungumza na wananchi wa Wilaya ya Iramba, Eneo la Shule ya Msingi Shelui leo tarehe 17 Oktoba, 2023.


Eng. Hassan Said, Mkurugenzi Mkuu wakala wa Nishati Vijijini amesema hadi mwaka 2020, 70% ya maeneo ya vijiji vyote nchini yalikuwa yamefikiwa na umeme. Tanzania ina jumla ya vijiji 12,318 ambapo hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Septemba 2023, vijiji 10987 ambavyo ni sawa na 90% tayari vilikuwa vimefikishiwa umeme.

Vijiji 1331 ambavyo ni sawa na 10% tayari wakandarasi wapo wakitekeleza mradi huu.

singida kuna umaskini mkubwa sana, ifike pahala wananchi wajitambue.
 
Keshamaliza miaka miwili ofisini na unakwenda wa tatu, mmekalia hizi video za majungu.

DP World anaanza kazi pale TPA mwezi Novemba, nchi inafunguka na faida nyingi tunakwenda kuziona.
Vile Samia anafungua nchi🐒🐒🐒
 
Back
Top Bottom