Pre GE2025 Rais Samia Asema UVCCM isiwe sehemu ya kungoja vyeo kutoka serikalini au kusubiri kuwaunga mkono wagombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lucas hilo lakoo na limekufikiaa haswaaaa.
Ukome kuweka hizo namba zako. Poleee wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lucas hilo lakoo na limekufikiaa haswaaaa.
Ukome kuweka hizo namba zako. Poleee wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi wala sitishwi na mafisi na nyumbu wa CHADEMA .mimi ni kazi kazi kwa kwenda mbele tu.
 
Hili mbumbumbu (Lucas) Kila mtu analikataa ila yeye anakua mbishi, ni ushamba na upunguani unaoufanya maana unashida kdg ktk kufikiri mkuu. Elewa unachoambiwa, na nyuzi zako zinaboa sana...
Fanya kazi zako bwana, unajaza server tu Kwa upuuzi unaoufanya, na uteuzi hutokuja kupata maana huna akili
 
Ukweli'mchungu kwako Lucas [emoji23][emoji23]
Jamaa alivyo zuzu kashindwa kutambua kua ana husika yeye na minamba yake ya simu anayo post[emoji16][emoji16] ila SAMIA ni mnafiki sana mbona wanawake waliopo sisiemu wanao tumia tobo zao mbili ili kusubiri kupewa uongozi kwa hisani ya hizo tobo ajawasema.....au ndiyo NYANI KAONA KUNDULE [emoji848][emoji848] [emoji725][emoji725][emoji725]
Lucas mwashambwa
 
Mkuu nakuunga mkono
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ™πŸ’πŸŽπŸŽ–οΈπŸ†πŸ†’
 
🀣🀣🀣
 
Jitahidi kuwa mstaraabu na kutumia lugha za hekima, busara na staha.
 
Jitahidi kuwa mstaraabu na kutumia lugha za hekima, busara na staha.
Du[emoji849][emoji849] staha gani tena ....wakati hapo nimeongea lugha ya shaha kama mitume au nabii[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Fanya unachokiamini buana.maana uzalendo ni tabia ya mtu usiwafundishe
 
UVCCM ni MACHAWA yanayosubiri TEUZI Uchaguzi ikifika watawabebea mabegi wagombea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…