Hili suala la leo yupo Dar kesho yupo dodoma liangaliwe mara 2 hatuwezi kuibeba hii gharama watanzania achaguwe ikulu moja ya kufanyia kazi.
Ni mpango unaoenda kufeli sio muda mrefu.
Ungekuwa na chances kubwa ya mafanikio iwapo hayo mashamba anapewa mtu mmoja mmoja. Au serikali ina kitengo cha management ya hayo mashamba.
Wazungu washajaribu hayo mambo kwenye 1800’s, shida ikaja wengine wavivu kutunza ardhi zao, mifugo inaingia kiholela, wengine awataki kuchangia miundombinu na mambo mengine luluki ya ovyo ikabidi hizo ardhi wakulima wadogo wanyan’ganywe na kupewa wakulima wakubwa.
Njia pekee ya kukuza kilimo ni kutaka watu kama kina Sumry yule aliekuwa na mabasi sasa kaamia kulima Rukwa, kuwa wengi nchi nzima, wenye uwezo wa kupanda na kuvuna kwa machines, kutengeneza sera nzuri za kuvutia viwanda na miundombinu ya uwekezaji.
Lakini huo mradi sio sustainable ni swala la muda tu, kikundi hakina ata leadership unaokota tu watu, soon kutakuwa na clashes of personality.
Huko maofisini kwenye management inayoeleweka kuimarisha team working bado kila mara HR wana implement theories za watu kama ‘Meredith Belbin’ ili kuimarisha ufanisi wa team; we ukaokote watu wafanyekazi kwa pamoja bila ya mgawanyiko wa majukumu wala uongozi humo ndani migogoro aipo mbali; worst makundi yote yanajukumu la pamoja kuhifadhi miundombinu ya umwagiliaji it will never work miaka 800.
Mpeni huyo Bashe wizara ya size yake, ukisikilizia anavyoongea utadhani mtu wa maana, kumbe ujinga mtupu. Ni waste of tax payers money.
Just google ‘why feudal farming failed in Europe au middle ages’ utapata picha kwanini wanzungu walifuta ujinga huu wa kuwapa watu ardhi ovyo; it wasn’t sustainable farming.
Ni uhalisia biashara ni science ya ‘people management’ ndio maana kuna HR department na theories za team working.Una hoja za msingi.
Nakubaliana nawe kabisa, sio kwamba wakulima hawazalishi, wanazalisha sana, ila kuna wizi mkubwa sana kwenye manunuzi. Leo huko mashambani hakuna vile vipimo halisi kwa maana ya halisi "kilogram' wanunuzi wanakuja na vipimo vyao vya kumnyonya mkulima (ndoo zinazo beba 25kgs badala ya 20kgs, matenga - nayo ni mizani n.k) Naona hata Serikali imehalisha vipimo hovyo maana hawachukui hatua zozote za kukemea wizi huu.. Maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata wapo, Mdiwani wapo, Ma-bwana na Bibi shamba wapo hata Wakuu wa Wilaya wapo lakini hakuna anayechukua hatua za kukomesha wizi.huu. Kwa ujumla hakuna anayejali, ilihali ni moja ya kazi yake ALIYO APA KUITEKELEZA.Mkuu umepogilia penyewe. Bahati mbaya wana JF tunajadili tu habari eti Dkt Magufuli alikuwa Dikteta au Rais Dkt Samia serikali yake imerejesha rushwa mpaka tunapitwa na mambo muhimu kama haya. Kwa kuongezea tu hakuna benki inayojitambua itatoa mkopo kwa hizi block farming kwa sababu risk ni nyingi mno, ukiachana tu na risk ya hali ya hewa masoko ya mazao ya kilimo kwa nchi yetu hayatabiliki, kuna cartel inanunua lumbesa ya kil 150 kwa bei ya kilo 100 halafu uje uiambie inunue lumbesa ya kilo 100 kwa bei halisi lazima wakuue. The idea ni nzuri sana shida ipo kwenye mambo mengi yanapaswa kufanyiwa kazi kizalendo tena kwa roho ngumu.
Mkuu naona walilipenda tu hilo neno "Big Result Now" maana linapendeza kwenye kutamka lakini halikufanyiwa uchambuzi yakinifu.Unakumbuka Big Result Now ilivyofeli???
Ndugu ni MAUMIVU KILA KONA, kwenye miradi ya uvuvi pia wanatuletea ujinga wa namna hii. Boti, vizimba, vifaranga vya samaki na chakula cha samaki vyote vinanunuliwa na Wizara kisha kukabidhiwa kwa Wavuvi badala ya kutoa mikopo ya pesa kisha wavuvi wajinunulie wenyewe mahitaji.Ni mpango unaoenda kufeli sio muda mrefu.
Ungekuwa na chances kubwa ya mafanikio iwapo hayo mashamba anapewa mtu mmoja mmoja. Au serikali ina kitengo cha management ya hayo mashamba na kuyasimamia.!
Wazungu washajaribu hayo mambo kwenye up until 1800’s, shida ikaja wengine wavivu kutunza ardhi zao, mifugo inaingia kiholela, wengine awataki kuchangia miundombinu na mambo mengine luluki ya ovyo ikabidi hizo ardhi wakulima wadogo wanyan’ganywe na kupewa wakulima wakubwa.
Njia pekee ya kukuza kilimo ni kutaka watu kama kina Sumry yule aliekuwa na mabasi sasa kaamia kulima Rukwa, kuwa wengi nchi nzima, wenye uwezo wa kupanda na kuvuna kwa machines hekari kubwa.
Kutangaza sera zilizopo nzuri tayari kwenye kilimo sema wenye kuzielewa faida zake kwa kina ni wachache ili kuvutia uwekezaji. Kwa sasa kama una hela ya kununua mabasi 100 kwa mkupuo na kuacha kilimo wewe ni poyoyo ambae uelewi incentives za machinery zinazotolewa shambani.
Serikali ijikite na kutengeneza sera nzuri za kuvutia viwanda na miundombinu ya uwekezaji kwa sasa kama ilivyo kwenye kilimo.
Lakini huo mradi sio sustainable ni swala la muda tu, kikundi hakina ata leadership unaokota tu watu, soon kutakuwa na clashes of personality.
Huko maofisini kwenye management inayoeleweka kuimarisha team working bado kila mara HR wana implement theories za watu kama ‘Meredith Belbin’ ili kuimarisha ufanisi wa team; we ukaokote watu wafanyekazi kwa pamoja bila ya mgawanyiko wa majukumu wala uongozi humo ndani migogoro aipo mbali; worst makundi yote yanajukumu la pamoja kuhifadhi miundombinu ya umwagiliaji it will never work miaka 800.
Mpeni huyo Bashe wizara ya size yake, ukisikilizia anavyoongea utadhani mtu wa maana, kumbe ujinga mtupu. Ni waste of tax payers money.
Just google ‘why feudal farming failed in Europe au middle ages’ utapata picha kwanini wanzungu walifuta ujinga huu wa kuwapa watu ardhi ovyo na ku encourage large scale farmers: such schemes weren’t sustainable.
Bashe hana uwezo huo ndio ukweli wenyewe.Ndugu ni MAUMIVU KILA KONA, kwenye miradi ya uvuvi pia wanatuletea ujinga wa namna hii. Boti, vizimba, vifaranga vya samaki na chakula cha samaki vyote vinanunuliwa na Wizara kisha kukabidhiwa kwa Wavuvi badala ya kutoa mikopo ya pesa kisha wavuvi wajinunulie wenyewe mahitaji.
Hizi GHOST PROJECTS ni kama ile miradi ya Mtoto wa Museven kule Uganda, hopeless kabisa
Hivi umejiridhisha namna huo mradi unavyotekelezwa? Je huo mradi unategemea mvua? Yaani watanzania ni viumbe wengine kabisa duniani.hizo ni ghost project ziatishia kwenye media tu lkn utekelezaji wake ni mgumu sana ni kama ilivyokuwa kwa vijiji vya ujamaa vilivyoanzishwa na hayati jkn.kilimo bila maji halafu utegemee mvua ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Watanzania wanapenda kulalamika kwa kila kitu. Sijui Serikali iwafanyie nini? No wonder JPM aliwaongoza kama punda tu.Huo mradi hautegemei mvua. Ni mradi wa umwagiliaji.
Tofauti kubwa mnoo, basi tu baadhi ya bongo za watanzania sjui akili wamezitoa sayari gani. Mradi huu uko full loaded. Congrats kwa Samia.Ni tofauti kabisa.
Ninatamani sana nchi yangu ifanikiwe, ila sasa wanasiasa wanapenda mno shortcuts.....Any way let us wish them all the bestNi mpango unaoenda kufeli sio muda mrefu.
Ungekuwa na chances kubwa ya mafanikio iwapo hayo mashamba anapewa mtu mmoja mmoja. Au serikali ina kitengo cha management ya hayo mashamba na kuyasimamia.!
Wazungu washajaribu hayo mambo kwenye up until 1800’s, shida ikaja wengine wavivu kutunza ardhi zao, mifugo inaingia kiholela, wengine awataki kuchangia miundombinu na mambo mengine luluki ya ovyo ikabidi hizo ardhi wakulima wadogo wanyan’ganywe na kupewa wakulima wakubwa.
Njia pekee ya kukuza kilimo ni kutaka watu kama kina Sumry yule aliekuwa na mabasi sasa kaamia kulima Rukwa, kuwa wengi nchi nzima, wenye uwezo wa kupanda na kuvuna kwa machines hekari kubwa.
Kutangaza sera zilizopo nzuri tayari kwenye kilimo sema wenye kuzielewa faida zake kwa kina ni wachache ili kuvutia uwekezaji. Kwa sasa kama una hela ya kununua mabasi 100 kwa mkupuo na kuacha kilimo wewe ni poyoyo ambae uelewi incentives za machinery zinazotolewa shambani.
Serikali ijikite na kutengeneza sera nzuri za kuvutia viwanda na miundombinu ya uwekezaji kwa sasa kama ilivyo kwenye kilimo.
Lakini huo mradi sio sustainable ni swala la muda tu, kikundi hakina ata leadership unaokota tu watu, soon kutakuwa na clashes of personality.
Huko maofisini kwenye management inayoeleweka kuimarisha team working bado kila mara HR wana implement theories za watu kama ‘Meredith Belbin’ ili kuimarisha ufanisi wa team; we ukaokote watu wafanyekazi kwa pamoja bila ya mgawanyiko wa majukumu wala uongozi humo ndani migogoro aipo mbali; worst makundi yote yanajukumu la pamoja kuhifadhi miundombinu ya umwagiliaji it will never work miaka 800.
Mpeni huyo Bashe wizara ya size yake, ukisikilizia anavyoongea utadhani mtu wa maana, kumbe ujinga mtupu. Ni waste of tax payers money.
Just google ‘why feudal farming failed in Europe au middle ages’ utapata picha kwanini wanzungu walifuta ujinga huu wa kuwapa watu ardhi ovyo na ku encourage large scale farmers: such schemes weren’t sustainable.
Kumbe unaongea na kubisha vitu usivyovielewa!Ni mpango unaoenda kufeli sio muda mrefu.
Ungekuwa na chances kubwa ya mafanikio iwapo hayo mashamba anapewa mtu mmoja mmoja. Au serikali ina kitengo cha management ya hayo mashamba na kuyasimamia.!
Wazungu washajaribu hayo mambo kwenye up until 1800’s, shida ikaja wengine wavivu kutunza ardhi zao, mifugo inaingia kiholela, wengine awataki kuchangia miundombinu na mambo mengine luluki ya ovyo ikabidi hizo ardhi wakulima wadogo wanyan’ganywe na kupewa wakulima wakubwa.
Njia pekee ya kukuza kilimo ni kutaka watu kama kina Sumry yule aliekuwa na mabasi sasa kaamia kulima Rukwa, kuwa wengi nchi nzima, wenye uwezo wa kupanda na kuvuna kwa machines hekari kubwa.
Kutangaza sera zilizopo nzuri tayari kwenye kilimo sema wenye kuzielewa faida zake kwa kina ni wachache ili kuvutia uwekezaji. Kwa sasa kama una hela ya kununua mabasi 100 kwa mkupuo na kuacha kilimo wewe ni poyoyo ambae uelewi incentives za machinery zinazotolewa shambani.
Serikali ijikite na kutengeneza sera nzuri za kuvutia viwanda na miundombinu ya uwekezaji kwa sasa kama ilivyo kwenye kilimo.
Lakini huo mradi sio sustainable ni swala la muda tu, kikundi hakina ata leadership unaokota tu watu, soon kutakuwa na clashes of personality.
Huko maofisini kwenye management inayoeleweka kuimarisha team working bado kila mara HR wana implement theories za watu kama ‘Meredith Belbin’ ili kuimarisha ufanisi wa team; we ukaokote watu wafanyekazi kwa pamoja bila ya mgawanyiko wa majukumu wala uongozi humo ndani migogoro aipo mbali; worst makundi yote yanajukumu la pamoja kuhifadhi miundombinu ya umwagiliaji it will never work miaka 800.
Mpeni huyo Bashe wizara ya size yake, ukisikilizia anavyoongea utadhani mtu wa maana, kumbe ujinga mtupu. Ni waste of tax payers money.
Just google ‘why feudal farming failed in Europe au middle ages’ utapata picha kwanini wanzungu walifuta ujinga huu wa kuwapa watu ardhi ovyo na ku encourage large scale farmers: such schemes weren’t sustainable.
Sasa wale wenye degree ya kilimo kabisa walipoteza miaka yao chuoni? Je wale ambao wanalima tangu kuzaliwa kwao hao hiyo VETA yao itaratibiwa lini?Kumbe unaongea na kubisha vitu usivyovielewa!
"Kila kijana anapewa eka 10 zake mwenyewe na hapo ni kituo cha mafunzo tu na eka kumi atagaiwa kila mmoja anaepitia hapo na kwenye vituo vingine kama hivyo, vinasambazwa maeneo yote muhimu Tanzania. Chukulia hiyo ni mfano wa veta ya kilimo
Sasa yawe vipi ya mtu mmoja mmoja zaidi ya hivyo?
Nakushauri kabla hujauliza maswali yaliojielekeza kwenye ubishi ws kijinga na sio kutaka kuuelewa huo mpango, anza kwa kuutazama huo mpango, kuusikiliza kwa utuvu na kuusoma vizuri. Utapata majibu.Sasa wale wenye degree ya kilimo kabisa walipoteza miaka yao chuoni? Je wale ambao wanalima tangu kuzaliwa kwao hao hiyo VETA yao itaratibiwa lini?
Madam naona dhamira ni njema ila hiijuhudi inahitaji maarifa ndani mwake...Naiombea mafanikio plan hii, ila 5 years down the lane huyu mwandishi anawezaonekana kama nabii....I also see what he sees, we might be wrong, let time decide for this!
Ninauelewa madam, nisingechangia kama nisingeusoma....Ni dhamira yangu njema kabisa kwa taifa kama uliyonayo wewe ila tukiwa na mtizamo unao kinzana kwakua pengine tuna background na experiences tofautiNakushauri kabla hujauliza maswali yaliojielekeza kwenye ubishi ws kijinga na sio kutaka kuuelewa huo mpango, anza kwa kuutazama huo mpango, kuusikiliza kwa utuvu na kuusoma vizuri. Utapata majibu.
Wacha uzushi mbona shambani chadema wapo piaMradi wa UVCCM , wengine hauwahusu
Kama kawaida, mpo kisiasa zaidi kuliko kuona the technical problems ndani ya hii concept....Hivi wakiwa ama uVCCM au CHADEMA siyo watanzania?Wacha uzushi mbona shambani chadema wapo pia