Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Kwahiyo unajaribu kusema nini!,mradi hauna tija? wewe kama hauna muitikio na kujitambua Wacha wengine wafanye ukizinduka wenzako wanarauka . Baki apo kulaumu kama mgema madafuHivi do we need to train or to do
Kama kawaida, mpo kisiasa zaidi kuliko kuona the technical problems ndani ya hii concept....Hivi wakiwa ama uVCCM au CHADEMA siyo watanzania?
Tatizo ni je ukiacha wahusika is that project viable,sustainable, can it increase people's welfare?
Najaribu kusema tuache siasa kwanza tusaidie technicalities siasa itakuja kama secondary criteria na siyo primary kwakua bado hizi ni first phase trials at national level...Tuache ushabiki kama tunataka kuisaidia nchiKwahiyo unajaribu kusema nini!,mradi hauna tija? wewe kama hauna muitikio na kujitambua Wacha wengine wafanye ukizinduka wenzako wanarauka . Baki apo kulaumu kama mgema madafu
dodoma ni sehemu kame ambayo hata uzalishaji wa mazao ya vyakula ni mgumu lkn cha ajabu ati ndo unakuwa pilot region badala ya mikoa ya mbeya,ruvuma,rukwa,katavi nk.mikoa ambayo wananchi wake ni wazalishaji wakubwa wa mazao ya vyakula hapa nchini.dododma maji ni ya shida na sijui ni nani aliyependekeza project hiyo ianzie huko.kwa haraka haraka utaona jinsi gani viongozi wetu wanavyoyapeleka mambo kisiasa.project kama hiyo niliwahi kuikuta pale kigoma sehemu moja inayoitwa kazegunga nje kidogo kigoma mjini lkn kwa bahati mbaya haikuzaa matunda na kwa sasa ukienda pale yale mashamba ya block farming yamezalisha mji mkubwa wa kisasa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Block Farming katika Programu ya Building Better Tomorrow (BBT) eneo la Chinangali, mkoani Dodoma leo tarehe 20 Machi, 2023.
View attachment 2559520
its a daylight dreams.Water basin ni kubwa sana Dodoma, na maji mengine for irritation schemes yanaweza patikana kwenye Man made dams kubwa kubwa na kuvuna maji ya mvua for all season ya kilimo na pia waki drill maji mengi sana Dodoma. Acha kuwa short sighted, myopic..!!
Hapana, hao wahusika watapatiwa mafunzo kwanza ya miezi mitatu, kisha baada ya hapo ndio wataingia shambani, watu hawaokotwi mtaani kama ulivyoandika.Ni mpango unaoenda kufeli sio muda mrefu.
Ungekuwa na chances kubwa ya mafanikio iwapo hayo mashamba anapewa mtu mmoja mmoja. Au serikali ina kitengo cha management ya hayo mashamba na kuyasimamia.!
Wazungu washajaribu hayo mambo kwenye up until 1800’s, shida ikaja wengine wavivu kutunza ardhi zao, mifugo inaingia kiholela, wengine awataki kuchangia miundombinu na mambo mengine luluki ya ovyo ikabidi hizo ardhi wakulima wadogo wanyan’ganywe na kupewa wakulima wakubwa.
Njia pekee ya kukuza kilimo ni kutaka watu kama kina Sumry yule aliekuwa na mabasi sasa kaamia kulima Rukwa, kuwa wengi nchi nzima, wenye uwezo wa kupanda na kuvuna kwa machines hekari kubwa.
Kutangaza sera zilizopo nzuri tayari kwenye kilimo sema wenye kuzielewa faida zake kwa kina ni wachache ili kuvutia uwekezaji. Kwa sasa kama una hela ya kununua mabasi 100 kwa mkupuo na kuacha kilimo wewe ni poyoyo ambae uelewi incentives za machinery zinazotolewa shambani.
Serikali ijikite na kutengeneza sera nzuri za kuvutia viwanda na miundombinu ya uwekezaji kwa sasa kama ilivyo kwenye kilimo.
Lakini huo mradi sio sustainable ni swala la muda tu, kikundi hakina ata leadership unaokota tu watu, soon kutakuwa na clashes of personality.
Huko maofisini kwenye management inayoeleweka kuimarisha team working bado kila mara HR wana implement theories za watu kama ‘Meredith Belbin’ ili kuimarisha ufanisi wa team; we ukaokote watu wafanyekazi kwa pamoja bila ya mgawanyiko wa majukumu wala uongozi humo ndani migogoro aipo mbali; worst makundi yote yanajukumu la pamoja kuhifadhi miundombinu ya umwagiliaji it will never work miaka 800.
Mpeni huyo Bashe wizara ya size yake, ukisikilizia anavyoongea utadhani mtu wa maana, kumbe ujinga mtupu. Ni waste of tax payers money.
Just google ‘why feudal farming failed in Europe au middle ages’ utapata picha kwanini wanzungu walifuta ujinga huu wa kuwapa watu ardhi ovyo na ku encourage large scale farmers: such schemes weren’t sustainable.
Aise, mbona una panic? Hii tu inakuondoa kwenye kutaka kuelewa badala yake unakuwa defensive...Kwahiyo unajaribu kusema nini!,mradi hauna tija? wewe kama hauna muitikio na kujitambua Wacha wengine wafanye ukizinduka wenzako wanarauka . Baki apo kulaumu kama mgema madafu
I think Dodoma kwa zao la zabibu is a perfect site...Tatizo ni misingi iliyowekwa ni dhaifu kiutaalam na aliye design ni mwanasiasa ambaye analenga kura zaidi kuliko kuangalia welfare ya watanzania kwa ujumla...Si vibaya, lakini kinachosikitisha ni Rais ndiye atakuwa victim baadaye hata baada ya kupata hizo kura na Rais anayekuja baada ya yeye ndiye atatakiwa kuanza kumsema vibaya kwakua atakuwa hana choice...It is also whats happening now kwa JPM...Mnapanga mipango siyo sustainable yenye boom ambayo ina burst baadaye na kutafuta bangusilo....dodoma ni sehemu kame ambayo hata uzalishaji wa mazao ya vyakula ni mgumu lkn cha ajabu ati ndo unakuwa pilot region badala ya mikoa ya mbeya,ruvuma,rukwa,katavi nk.mikoa ambayo wananchi wake ni wazalishaji wakubwa wa mazao ya vyakula hapa nchini.dododma maji ni ya shida na sijui ni nani aliyependekeza project hiyo ianzie huko.kwa haraka haraka utaona jinsi gani viongozi wetu wanavyoyapeleka mambo kisiasa.project kama hiyo niliwahi kuikuta pale kigoma sehemu moja inayoitwa kazegunga nje kidogo kigoma mjini lkn kwa bahati mbaya haikuzaa matunda na kwa sasa ukienda pale yale mashamba ya block farming yamezalisha mji mkubwa wa kisasa.
sehemu ile iko karibu sana na bonde la maji yanayotiririka karibu kwa kipindi cha mwaka mzima liitwalo bonde la mungonya.sasa najaribu kuwaza huko dodoma tena chinangali ambapo ni pakame kabisa je kweli patakuwa na tija yoyote?Tuombe Mungu itokee muijiza.
Nimemsikia mtangazaji mmoja anasema BBTT ameitamka Bibi TitiMama toa AMRI huu mradi uanze sasa. Ni AIBU mafisadi kukuzidi nguvu na kukwamisha shughuli ambazo zingesaidia kupunguza tatizo la ajira kwa vijana na kuchochea uchumi wa nchi kwa haraka.
Tangu Agosti 2022 hadi LEO HII NI BLAH BLAH TU ZINAENDELEA, mradi haielewek
Nimecheka kwa sauti mpaka wati wamenishangaaNimemsikia mtangazaji mmoja anasema BBTT ameitamka Bibi Titi
Ndiyo watanzania wenyewe haoNimecheka kwa sauti mpaka wati wamenishangaa
All the bestHapana, hao wahusika watapatiwa mafunzo kwanza ya miezi mitatu, kisha baada ya hapo ndio wataingia shambani, watu hawaokotwi mtaani kama ulivyoandika.
Best of luckKumbe unaongea na kubisha vitu usivyovielewa!
"Kila kijana anapewa eka 10 zake mwenyewe na hapo ni kituo cha mafunzo tu na eka kumi atagaiwa kila mmoja anaepitia hapo na kwenye vituo vingine kama hivyo, vinasambazwa maeneo yote muhimu Tanzania. Chukulia hiyo ni mfano wa veta ya kilimo
Sasa yawe vipi ya mtu mmoja mmoja zaidi ya hivyo?
Hapachezwi kamari hapo hata pategemewe "lady luck".Best of luck
Mradi mipango ni thabiti na kuna mnunuzi atakaepewa block kubwa zaidi sasa shida itoke wapi na vijana wanapewa training what to worry.A
Hapachezwi kamari hapo hata pategemewe "lady luck".
Serikali inayorndeshwa na mama Samia imetowa fursa kwa vitendo. Vijana muweze au mshindwe kuitumia fursa hiyo ni juu yenu.
Kijana hujausoma mradi wala hujauelewa, unapeleka fikra zako kwa yasiyokuwepo.Mradi mipango ni thabiti na kuna mnunuzi atakaepewa block kubwa zaidi sasa shida hiko.
Kumbuka tu sio kila mtu ‘Unilever’ usije kwenda Mfindi ukaona mashamba ya chai yanapouza kwa mtu mmoja ukadhani kila mkulima ni sawa nao.
Unilever ni conglomerate kwenye ‘fast moving consumer goods’ so ana kila interest ya kusaidia ata wakulima wadogo alipo maana wao wana access ya soko kubwa sana duniani na wanamiliki brand kibao tofauti za chai tu duniani achilia vitu vingine.
Ni hivi mimi nimemsikiliza Bashe and you don’t want my take on this trust me, so tuachie hapo kwenye, all the best.
We kama umeulewa masoko ya hao wakulima wadogo ni nani?Kijana hujausoma mradi wala hujauelewa, unapeleka fikra zako kwa yasiyokuwepo.
Usome kisha urudi na uelewa. Kamanhuwezi kuusoma mradi basi japo itazame video ya uzinduzi utaoata idea ya mradi na utakuja na vitu vyenye mashiko (relevant).
Usiwe mvivu kusoma.
Kiongozi watu ni wavivu WA kuelewa mbona WAZIRI ameeleza kila hatua ya huu mradi mpaka masoko watakavyouza? watu wanakalia ubishi hawataki kufuatilia mpango mkakati WA selikari katika kuliendea jambo hiliHiyo program imeratibiwa Kwa Kila kitu, unadhani wanaolima kienyeji kama huko mtaani kwenu?
Wanaolima mazao elekezi yenye soko kabisa sio tuu ndani Bali masoko ya Nje ambayo serikali imewatafitia.