Rais Samia ashiriki kilele cha kumbukizi ya 3 ya urithi wa Benjamin William Mkapa katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam, Julai 31, 2024

Rais Samia ashiriki kilele cha kumbukizi ya 3 ya urithi wa Benjamin William Mkapa katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam, Julai 31, 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akishiri Kilele cha Kumbukizi ya 3 ya Urithi wa Benjamin William Mkapa katika Ukumbi wa JNICC Dar es Salaam, leo tarehe 31 Julai, 2024.

Rais Samia amesema Hayati Mkapa anakumbukwa sana kama baba wa mifumo, baba wa taasisi na baba wa mifumo. Haishangazi katika utawala wake taasisi nyingi zilianzishwa, aliingia madarakani kipindia mbacho UKIMWI ulikuwa umeshika kasi nchini, ambapo alianzisha TACAIDS, NHIF na mageuzi ya kimkakati Muhimbili yaliyozaa MOI kisha baada ya kutoka madarakani akaanzisha Benjamin Mkapa Foundation.

Alikuwa kiongozi mwenye ujasiri wa kukabiliana na mambo magumu.

Serikali inaridhika sana na inatambua mchango mkubwa unaotolewa na taasisi hii ya Benjamin Mkapa Foundation, ndani ya miaka 18 taasisi imesomesha watumishi wa afya watarajiwa na watumishi walioko kazini takribani 1,100 katika fani mbalimbali zikiwemo za matibabu, wauguzi wakunga n.k.

Pia, Rais Samia amesema Mioyo yetu imeendelea kuwa na kumbukumbu ya urithi wa maarifa na urathi yaani 'legacy', urathi wake katika mifumo ya uongozi wa nchi yetu, tunaendelea kuishi nayo hadi sasa
 
Sasa Magufuli kaingiaje hapa. Jikite kwenye hoja iliyopo mezani.
Kutumia jina halisi haikufanyi kila unachoandika uandikie kuonyesha uchawa hakuna atakayekuona hakuna atakaye kuchukua inaonesha namna gani utakavyokuwa mnafiki baadae . Huu ni ukweli kwanini kumbukizi za JPM hazionyeshwi au kuwekwa maandalizi kama haya ya mkapa .. let me remind you.. na kwa wale wanaosema haya samia hata exist 2025 October...itunze hii
 
1000266050.jpg
 

Attachments

  • 1000266050.jpg
    1000266050.jpg
    686.3 KB · Views: 3
Kutumia jina halisi haikufanyi kila unachoandika uandikie kuonyesha uchawa hakuna atakayekuona hakuna atakaye kuchukua inaonesha namna gani utakavyokuwa mnafiki baadae . Huu ni ukweli kwanini kumbukizi za JPM hazionyeshwi au kuwekwa maandalizi kama haya ya mkapa .. let me remind you.. na kwa wale wanaosema haya samia hata exist 2025 October...itunze hii
Kwamba nimeandika kichawa chawa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akishiri Kilele cha Kumbukizi ya 3 ya Urithi wa Benjamin William Mkapa katika Ukumbi wa JNICC Dar es Salaam, leo tarehe 31 Julai, 2024.

Hivi anapata muda saa ngapi wa kutafakari kwa kina strategy za kupeleka nchi mbele maana jumatatu hadi jumatatu ni Kufungua hiki, kongamano, warsha, kumbukumbu nk. Muda wa kukaa Ofisi kubrainstorm viongozi wetu wanapata wapi?
 
Back
Top Bottom