beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa pamoja kati ya Wafanyabiashara wa Tanzania na Marekani ambapo amesema kwa sasa kiwango cha Biashara ni kidogo kulinganisha na fursa zilizopo
Amesema angependa kuona Biashara inaongezeka kwani Tanzania ni mwanachama wa SADC na EAC ambazo zinatoa fursa za Wawekezaji na Wafanyabiashara kwa soko la Watu Milioni 450, hivyo kuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji
Amehimiza kuimarishwa Biashara kwa Nchi hizo mbili ili kuwepo faida kwa pande zote
Amesema angependa kuona Biashara inaongezeka kwani Tanzania ni mwanachama wa SADC na EAC ambazo zinatoa fursa za Wawekezaji na Wafanyabiashara kwa soko la Watu Milioni 450, hivyo kuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji
Amehimiza kuimarishwa Biashara kwa Nchi hizo mbili ili kuwepo faida kwa pande zote