Rais Samia asimamisha Kikao kazi Arusha kwa ajili ya kumuombea Marehemu Dkt Faustine Ndugulile

Rais Samia asimamisha Kikao kazi Arusha kwa ajili ya kumuombea Marehemu Dkt Faustine Ndugulile

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Leo hii Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. katika kuonyesha na muendelezo wa Masikitiko yake,huzuni,uchungu,simanzi na Majonzi Ameweza kusimamisha kikao kazi kwa Dakika .

kwa ajili ya Kumuombea Dua Aliyekuwa Mbunge wa kigamboni na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika Marehemu Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Nchini India.

Ikumbukwe ya Kuwa Ni Rais Samia kwa ushawishi wake na heshima kubwa aliyojijengea Duniani kwote ndiyo iliwezesha na kufanikisha Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kushinda nafasi hiyo nyeti ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.kwa kuunda timu kabambe ya kumuombea kura za ndio.

Lakini pia Heshima ya Rais Samia aliyonayo Duniani kwote ilifanya Mataifa na wawakilishi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali kumpigia kura Marehemu Dkt Ndugulile hasa kwa kujua kuwa amepewa baraka na kupitishwa na Daktari Mama Samia kugombea nafasi hiyo.

Kwa hiyo ni Msiba ulio muumiza,kumsononesha na kumshitua sana Rais wetu Mpendwa.kwa sababu alikuwa anajua kuwa amemaliza kazi ya kuleta ushindi hapa Nchini na kazi iliyokuwa imebaki ilikuwa ni kwa Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kwenda kuchapa kazi na kutuwakilisha vyema na kutuletea heshima na sifa nzuri kama Taifa na kutujengea kuendelea kuaminika zaidi katika nafasi za kimataifa.

Ndio Maana unaona watu mbalimbali wametoa pole sana kwa Familia,Bunge , watanzania pamoja na Rais wetu Mpendwa Mama Samia Daktari mwenye upendo, huruma,ukarimu, unyenyekevu na uzalendo wa dhati na wa hali ya juu sana kwa Taifa letu.

Screenshot_20241129-141639_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo hii Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. katika kuonyesha na muendelezo wa Masikitiko yake,huzuni,uchungu,simanzi na Majonzi Ameweza kusimamisha kikao kazi kwa Dakika .

kwa ajili ya Kumuombea Dua Aliyekuwa Mbunge wa kigamboni na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika Marehemu Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Nchini India.

Ikumbukwe ya Kuwa Ni Rais Samia kwa ushawishi wake na heshima kubwa aliyojijengea Duniani kwote ndiyo iliwezesha na kufanikisha Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kushinda nafasi hiyo nyeti ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.kwa kuunda timu kabambe ya kumuombea kura za ndio.

Lakini pia Heshima ya Rais Samia aliyonayo Duniani kwote ilifanya Mataifa na wawakilishi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali kumpigia kura Marehemu Dkt Ndugulile hasa kwa kujua kuwa amepewa baraka na kupitishwa na Daktari Mama Samia kugombea nafasi hiyo.

Kwa hiyo ni Msiba ulio muumiza,kumsononesha na kumshitua sana Rais wetu Mpendwa.kwa sababu alikuwa anajua kuwa amemaliza kazi ya kuleta ushindi hapa Nchini na kazi iliyokuwa imebaki ilikuwa ni kwa Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kwenda kuchapa kazi na kutuwakilisha vyema na kutuletea heshima na sifa nzuri kama Taifa na kutujengea kuendelea kuaminika zaidi katika nafasi za kimataifa.

Ndio Maana unaona watu mbalimbali wametoa pole sana kwa Familia,Bunge , watanzania pamoja na Rais wetu Mpendwa Mama Samia Daktari mwenye upendo, huruma,ukarimu, unyenyekevu na uzalendo wa dhati na wa hali ya juu sana kwa Taifa letu.

View attachment 3165179

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna Dua yoyote Samia atamuombea mtu ambayo Mungu ataikubali, Haipo!

Mungu si mjinga wa kupokea dua ya Wenye dhambi, Hayupo Mungu wa masihara kama hayo
 
Hakuna Dua yoyote Samia atamuombea mtu ambayo Mungu ataikubali, Haipo!

Mungu si mjinga wa kupokea dua ya Wenye dhambi, Hayupo Mungu wa masihara kama hayo
Ndio Maana huwa nasema siku zote kuwa wewe ni mjinga jinga sana na hujitambui kabisa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo hii Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. katika kuonyesha na muendelezo wa Masikitiko yake,huzuni,uchungu,simanzi na Majonzi Ameweza kusimamisha kikao kazi kwa Dakika .

kwa ajili ya Kumuombea Dua Aliyekuwa Mbunge wa kigamboni na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika Marehemu Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Nchini India.

Ikumbukwe ya Kuwa Ni Rais Samia kwa ushawishi wake na heshima kubwa aliyojijengea Duniani kwote ndiyo iliwezesha na kufanikisha Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kushinda nafasi hiyo nyeti ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.kwa kuunda timu kabambe ya kumuombea kura za ndio.

Lakini pia Heshima ya Rais Samia aliyonayo Duniani kwote ilifanya Mataifa na wawakilishi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali kumpigia kura Marehemu Dkt Ndugulile hasa kwa kujua kuwa amepewa baraka na kupitishwa na Daktari Mama Samia kugombea nafasi hiyo.

Kwa hiyo ni Msiba ulio muumiza,kumsononesha na kumshitua sana Rais wetu Mpendwa.kwa sababu alikuwa anajua kuwa amemaliza kazi ya kuleta ushindi hapa Nchini na kazi iliyokuwa imebaki ilikuwa ni kwa Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kwenda kuchapa kazi na kutuwakilisha vyema na kutuletea heshima na sifa nzuri kama Taifa na kutujengea kuendelea kuaminika zaidi katika nafasi za kimataifa.

Ndio Maana unaona watu mbalimbali wametoa pole sana kwa Familia,Bunge , watanzania pamoja na Rais wetu Mpendwa Mama Samia Daktari mwenye upendo, huruma,ukarimu, unyenyekevu na uzalendo wa dhati na wa hali ya juu sana kwa Taifa letu.

View attachment 3165179

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hivi kweli huwa una kazi zingine za kufanya zaidi ya hii ya kusifu na kuabudu?

JF ni kweli haikuoni kwa tujaza servers kwa utumbo wako wa kila siku?

Hivi bila siku kuisha haujasifu nakuabudu unajisikiaje hasa?

Nadhani kuna muda unakufuru
unaomba ungezaliwa nae
huyo mpendwa wenu
awe mama yako mzazi!

Eti mpendwa wetu
wewe na nani hasa?

Kwa taarifa zenu (wewe na wenzako)
2025 Fomu za kugombea nafasi ya Rais CCM
zitatoka zaidi ya Moja.
Tuone huo upendwa wenu utaishia wapi.

Huyo mpendwa wenu alishawajua
nyie ni wanafiki wala haangaiki na nyie
coz 2025 atakaposhindwa
mtakuwa wa kwanza kumponda.

Tangu uanze kusifu na mapambio
sidhani kuna ulichowahi kupewa
walishakupuuza
nakumbuka awali ulikuwa unaandika majina yako yote na namba za simu.

Hahah pole sana
 
hivi kweli huwa una kazi zingine za kufanya zaidi ya hii ya kusifu na kuabudu?

JF ni kweli haikuoni kwa tujaza servers kwa utumbo wako wa kila siku?

Hivi bila siku kuisha haujasifu nakuabudu unajisikiaje hasa?

Nadhani kuna muda unakufuru
unaomba ungezaliwa nae
huyo mpendwa wenu
awe mama yako mzazi!

Eti mpendwa wetu
wewe na nani hasa?

Kwa taarifa zenu (wewe na wenzako)
2025 Fomu za kugombea nafasi ya Rais CCM
zitatoka zaidi ya Moja.
Tuone huo upendwa wenu utaishia wapi.

Huyo mpendwa wenu alishawajua
nyie ni wanafiki wala haangaiki na nyie
coz 2025 atakaposhindwa
mtakuwa wa kwanza kumponda.

Tangu uanze kusifu na mapambio
sidhani kuna ulichowahi kupewa
walishakupuuza
nakumbuka awali ulikuwa unaandika majina yako yote na namba za simu.

Hahah pole sana
Unaumia ukiwa wapi huko kusiko hata na sumu ili unywe na kufa kabisa? Ndani ya CCM Fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
 
Hakuna Dua yoyote Samia atamuombea mtu ambayo Mungu ataikubali, Haipo!

Mungu si mjinga wa kupokea dua ya Wenye dhambi, Hayupo Mungu wa masihara kama hayo
Kujiona wewe ni msafi na Samia ni mchafu ni dhambi nyingine unayoitenda muda huu.

Kujihesabia haki ni kosa lenye kustahili kulitubu kwa Mungu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo hii Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. katika kuonyesha na muendelezo wa Masikitiko yake,huzuni,uchungu,simanzi na Majonzi Ameweza kusimamisha kikao kazi kwa Dakika .

kwa ajili ya Kumuombea Dua Aliyekuwa Mbunge wa kigamboni na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika Marehemu Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Nchini India.

Ikumbukwe ya Kuwa Ni Rais Samia kwa ushawishi wake na heshima kubwa aliyojijengea Duniani kwote ndiyo iliwezesha na kufanikisha Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kushinda nafasi hiyo nyeti ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.kwa kuunda timu kabambe ya kumuombea kura za ndio.

Lakini pia Heshima ya Rais Samia aliyonayo Duniani kwote ilifanya Mataifa na wawakilishi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali kumpigia kura Marehemu Dkt Ndugulile hasa kwa kujua kuwa amepewa baraka na kupitishwa na Daktari Mama Samia kugombea nafasi hiyo.

Kwa hiyo ni Msiba ulio muumiza,kumsononesha na kumshitua sana Rais wetu Mpendwa.kwa sababu alikuwa anajua kuwa amemaliza kazi ya kuleta ushindi hapa Nchini na kazi iliyokuwa imebaki ilikuwa ni kwa Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kwenda kuchapa kazi na kutuwakilisha vyema na kutuletea heshima na sifa nzuri kama Taifa na kutujengea kuendelea kuaminika zaidi katika nafasi za kimataifa.

Ndio Maana unaona watu mbalimbali wametoa pole sana kwa Familia,Bunge , watanzania pamoja na Rais wetu Mpendwa Mama Samia Daktari mwenye upendo, huruma,ukarimu, unyenyekevu na uzalendo wa dhati na wa hali ya juu sana kwa Taifa letu.

View attachment 3165179

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anajua kama watu wanatekwa?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo hii Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. katika kuonyesha na muendelezo wa Masikitiko yake,huzuni,uchungu,simanzi na Majonzi Ameweza kusimamisha kikao kazi kwa Dakika .

kwa ajili ya Kumuombea Dua Aliyekuwa Mbunge wa kigamboni na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika Marehemu Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Nchini India.

Ikumbukwe ya Kuwa Ni Rais Samia kwa ushawishi wake na heshima kubwa aliyojijengea Duniani kwote ndiyo iliwezesha na kufanikisha Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kushinda nafasi hiyo nyeti ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.kwa kuunda timu kabambe ya kumuombea kura za ndio.

Lakini pia Heshima ya Rais Samia aliyonayo Duniani kwote ilifanya Mataifa na wawakilishi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali kumpigia kura Marehemu Dkt Ndugulile hasa kwa kujua kuwa amepewa baraka na kupitishwa na Daktari Mama Samia kugombea nafasi hiyo.

Kwa hiyo ni Msiba ulio muumiza,kumsononesha na kumshitua sana Rais wetu Mpendwa.kwa sababu alikuwa anajua kuwa amemaliza kazi ya kuleta ushindi hapa Nchini na kazi iliyokuwa imebaki ilikuwa ni kwa Marehemu Dkt Faustine Ndugulile kwenda kuchapa kazi na kutuwakilisha vyema na kutuletea heshima na sifa nzuri kama Taifa na kutujengea kuendelea kuaminika zaidi katika nafasi za kimataifa.

Ndio Maana unaona watu mbalimbali wametoa pole sana kwa Familia,Bunge , watanzania pamoja na Rais wetu Mpendwa Mama Samia Daktari mwenye upendo, huruma,ukarimu, unyenyekevu na uzalendo wa dhati na wa hali ya juu sana kwa Taifa letu.

View attachment 3165179

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kazi ya Milennium SDGs Kurekebisha hotuba Raisi Jukwaani!

Mjane wa marehemu ni Magret

Nimeletewa kimeme Mjane wa marehemu Ni magret

Unarekebisha sehemu ambayo haujakosea




View: https://www.youtube.com/live/ayjkD2TILjc?si=qyr_DZjtXe8u8aZi


Je Jamii ina tatizo lolote linalotakiwa kutatuliwa raisi anazingua tumrekebishe!? Inawezekana tutamrekibisha tushindwe nini!?
 
Kazi ya Milennium SDGs Kurekebisha hotuba Raisi Jukwaani!

Mjane wa marehemu ni Magret

Nimeletewa kimeme Mjane wa marehemu Ni magret

Unarekebisha sehemu ambayo haujakosea




View: https://www.youtube.com/live/ayjkD2TILjc?si=qyr_DZjtXe8u8aZi


Je Jamii ina tatizo lolote (ukosefu wa maji/ Ukosefu wa Ajira- Upungufu wa Mbolea au pembejeo) linalotakiwa kutatuliwa raisi anazingua tumrekebishe!? Inawezekana tutamrekibisha tushindwe nini!?
 
Back
Top Bottom