Pre GE2025 Rais Samia ataenda mpaka 2035? Na kama ataishia 2030, Makamo Nchimbi naye ataishia 2030(miaka 5) au atagombea Urais 2030?

Pre GE2025 Rais Samia ataenda mpaka 2035? Na kama ataishia 2030, Makamo Nchimbi naye ataishia 2030(miaka 5) au atagombea Urais 2030?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Haya mambo haya ndio yanafanya MTU akitwae Kiti hata kama ni Kwa Hila.

Kama Rais Samia ataishia 2030, Makamo wake atakubali habari zake za Siasa kuishia hapo, na kwa kua atakua keshajijenga, Mkutano Mkuu ukiamua kama ulivyoamua majuzi Mgombea kua Mmoja, itakuaje?

Kwa Kumtoa Mh Nchimbi kwenye Ukatibu Mkuu, wamemuondolea nguvu kwenye Chama, ni kweli.

Pia soma: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Kumuweka Mzee Wassira Makamo, na hatimaye Katibu Mkuu mpya ambaye naye atakua na Itikadi sawa na za Akina Wassira, nikama vile CCM inarudisha chama kwenye zile Itikadi za Mwalimu Nyerere. Je, ni Kwa ajili ya 2025 hii au au 2030?

Na kama ni Kwa ajili ya 2030, nani ajuaye yalotokea 3/2021 kua hayawez kujirudia na hatimaye Msiyependa kua Mwenyekiti ndio akawa na kuvuruga mipango yote?

Hapa ndipo Palipo na udhaifu wa Katiba ya CCM, kwamba Rais hapohapo ndio anakua Mwenyekiti wa CHAMA. Nadhani hii pia imefanya Chama kishindwe kuwawajibisha Viongozi wabadhirifu, wazembe, Mafisadi, Wenye Undugu) kwa sababu unakuta Wana Mahusiano na Rais ambaye pia ni Mwenyekiti.

Turudi kwenye Hoja ya msingi, Mh. Nchimbi atakubali na ataishia 2030? Uchaguzi wa 2030, Fomu zitakua Kwa anayetaka?

Ama kweli uchaguzi 2025 Kwa CCM hautabiriki, ni Ama Dola imeshindwa kusoma alama za nyakati ya kile kinachoendelea huku mtaani na kuisaidia CCM au Dola yenyewe imeichoka CCM na imeamua kwenda na Lissu.
 
Haya mambo haya ndio yanafanya MTU akitwae Kiti hata kama ni Kwa Hila.

Kama Rais Samia ataishia 2030, Makamo wake atakubali habari zake za Siasa kuishia hapo, na kwa kua atakua keshajijenga, Mkutano Mkuu ukiamua kama ulivyoamua majuzi Mgombea kua Mmoja, itakuaje?

Kwa Kumtoa Mh Nchimbi kwenye Ukatibu Mkuu, wamemuondolea nguvu kwenye Chama, ni kweli.

Pia soma: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Kumuweka Mzee Wassira Makamo, na hatimaye Katibu Mkuu mpya ambaye naye atakua na Itikadi sawa na za Akina Wassira, nikama vile CCM inarudisha chama kwenye zile Itikadi za Mwalimu Nyerere. Je, ni Kwa ajili ya 2025 hii au au 2030?

Na kama ni Kwa ajili ya 2030, nani ajuaye yalotokea 3/2021 kua hayawez kujirudia na hatimaye Msiyependa kua Mwenyekiti ndio akawa na kuvuruga mipango yote?

Hapa ndipo Palipo na udhaifu wa Katiba ya CCM, kwamba Rais hapohapo ndio anakua Mwenyekiti wa CHAMA. Nadhani hii pia imefanya Chama kishindwe kuwawajibisha Viongozi wabadhirifu, wazembe, Mafisadi, Wenye Undugu) kwa sababu unakuta Wana Mahusiano na Rais ambaye pia ni Mwenyekiti.

Turudi kwenye Hoja ya msingi, Mh. Nchimbi atakubali na ataishia 2030? Uchaguzi wa 2030, Fomu zitakua Kwa anayetaka?

Ama kweli uchaguzi 2025 Kwa CCM hautabiriki, ni Ama Dola imeshindwa kusoma alama za nyakati ya kile kinachoendelea huku mtaani na kuisaidia CCM au Dola yenyewe imeichoka CCM na imeamua kwenda na Lissu.
Marekani wanawaza silaha gani waunde, au chombo gani cha anga watengeneze, ama technology gani ianzishwe kutatua changamoto za binadamu, dawa gani imefanyiwa utafiti. Maskini sisi vichaa wa Tanzania tunawaza kukaa madarakani, hiyo ndiyo record yetu ya mambo makubwa.
 
Haya mambo haya ndio yanafanya MTU akitwae Kiti hata kama ni Kwa Hila.

Kama Rais Samia ataishia 2030, Makamo wake atakubali habari zake za Siasa kuishia hapo, na kwa kua atakua keshajijenga, Mkutano Mkuu ukiamua kama ulivyoamua majuzi Mgombea kua Mmoja, itakuaje?

Kwa Kumtoa Mh Nchimbi kwenye Ukatibu Mkuu, wamemuondolea nguvu kwenye Chama, ni kweli.

Pia soma: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Kumuweka Mzee Wassira Makamo, na hatimaye Katibu Mkuu mpya ambaye naye atakua na Itikadi sawa na za Akina Wassira, nikama vile CCM inarudisha chama kwenye zile Itikadi za Mwalimu Nyerere. Je, ni Kwa ajili ya 2025 hii au au 2030?

Na kama ni Kwa ajili ya 2030, nani ajuaye yalotokea 3/2021 kua hayawez kujirudia na hatimaye Msiyependa kua Mwenyekiti ndio akawa na kuvuruga mipango yote?

Hapa ndipo Palipo na udhaifu wa Katiba ya CCM, kwamba Rais hapohapo ndio anakua Mwenyekiti wa CHAMA. Nadhani hii pia imefanya Chama kishindwe kuwawajibisha Viongozi wabadhirifu, wazembe, Mafisadi, Wenye Undugu) kwa sababu unakuta Wana Mahusiano na Rais ambaye pia ni Mwenyekiti.

Turudi kwenye Hoja ya msingi, Mh. Nchimbi atakubali na ataishia 2030? Uchaguzi wa 2030, Fomu zitakua Kwa anayetaka?

Ama kweli uchaguzi 2025 Kwa CCM hautabiriki, ni Ama Dola imeshindwa kusoma alama za nyakati ya kile kinachoendelea huku mtaani na kuisaidia CCM au Dola yenyewe imeichoka CCM na imeamua kwenda na Lissu.
Mbona CCM yenyewe na Wana CCM wametulia halafu wewe usiye CCM ndio unahangaika? Kwanini usikilize, imekuwaje tangu Lissu awe Mwenyekiti wa Chadema, Chadema ipo kama imekufa?
 
Back
Top Bottom