Rais Samia atembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii Kizimkazi Zanzibar

Rais Samia atembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii Kizimkazi Zanzibar

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
WhatsApp Image 2024-08-24 at 14.30.22.jpeg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Agosti 24,2024 ametembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii na kujionea vivutio mbalimbali vya wanyamapori kwenye maonesho ya Tisa ya Tamasha maarufu la Kizimkazi Kusini Unguja visiwani Zanzibar.

Akiwa katika banda hilo, huku akiongozwa na mwenyeji wake Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) na Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi amejionea wanyamapori mbalimbali kama Simba, Pundamilia, Chui, Fisi n.k.

Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro zimeshiriki Maonesho hayo.

Soma Pia: Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

WhatsApp Image 2024-08-24 at 14.30.24(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-08-24 at 14.30.25.jpeg
 
Back
Top Bottom