Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Kazi iendelee...We umeshika Nini ...
Hatimae Yametimia Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh.Sana Bw.Albert Chalamila hatunae tena kwenye Orodha ya Wakuu wa Mikoa hii ASUBUHI Kwani Uteuzi wake UMETENGULIWA.Tunamshukuru MUNGU kwa Kusikia KILIO chetu Sisi WANA MBEYA
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji116]View attachment 1814890
Me pia ile kauli yake ya watu waje na mabango ya kutosha ilinipa shakaChalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya Rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
Huyu spika atenguliwe... ni jangaHata usiposhangilia nini kinafanyika kama baada ya Mwigulu kumaliza kusoma, Ndugai akasema hongera ishapita hiyoo na makofi yakapigwa unatarajia nini sasa????? Maana kila mzigo wa kupinga wameachiwa Chadema na Mbowe
Na hilo ndilo nimeliona..fonts inaumiza macho kiasi on my view thoughKila mtu na mwandiiko wake yeye anapendelea huo mwandiko ingawaje si mzuri sana kama wa yule wa songea
pombe ya shinhwa imemkost, tulimkanya hii pombe kali mno hakusikia, ila mwanza wangetuletea makonda jamani,Chalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya Rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
Its the opinion darlingUshasema fonts za Msigwa! Kila masika na mbu wake. Majira yamebadilika. Jitahidi kuzoea.
Huyu ndio sifuri plus.........
Dereva atapata wapi guts za kumfata?Halafu muhusika kalala hana habari, akiamka asubuhi anabeba makabrsha anaenda ofisini, akifika atashangaa watu wakimpa pole.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Yanii huyu mama anamlia timing tuhapi awe makini. mkoa aliopelekwa akiushindwa ni red card
Kazi za kuteuliwa mbaya kweliUnaamka zako asubuhi hujapiga hata mswaki unaambiwa jiji si lako tena rudi Iringa ukapulizwe na baridi kidogo
bado happy allyRais amefanya mabadiliko baadhi ya ViongoziView attachment 1814795
Itakuwa imemcost big time
Akili yako imetulia kama Nguruwe kigoliUna matatizo ya akili kama ya kenge jike