Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna nafasi ya reprimand? Halafu hazitolewi sababu za uteuzi kutenguliwa na hivyo kutoa mwanya wa mtu kuonekana ameonewa. Na kama mtu ameonekana mbovu kwa nini asipewe nafasi ya kujiuzuru?Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Utasubiri Sana kuhusu hiyo katibaKazi iendelee mama sio mtu wa makamera, namkubali sana, ila tunaomba katiba mpya.
Jamani Mama tumpe miaka 10 Na nyoneza ni mtekelezaji hana misifa ya kitoto hakika ni kiongoziChalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya Rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
Alichapa wanafunzi wa shhule fulani vibokoAsante mama kwa kupumzisha mlevi mmoja [emoji382][emoji817] apelekwe milembe mara moja huyo
hazina muda zina kujia kama kifo! ndio safiri ili watu wajuwe madaraka ni dhamani na sio uridhi wa kikabila!Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Madaraka ya kulevyaChalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya Rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
kampeleka kwenye angle nzuri itakuwa 45° au 95°bado happi
huyu ni kichaaaMadaraka ya kulevyaView attachment 1814869
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ana hamu na damu litre 8[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule jamaa Its either anavuta bangi, unga au pombe kupita kiasi au anajaribu kufanya utani lakini hauwezi utani, anapitiliza mnoo siyo mara ya kwanza kutoa kauli za ajabu.
Kule Mbeya kipindi cha uchaguzi alisema ana hamu na damu za wapinzani kama litre 8 hivi ana mpango wa kuzimwaga, he is terrible.
hapi awe makini. mkoa aliopelekwa akiushindwa ni red cardChalamilla hafai kabisa, lakini mama namshangaa bado anaona Hapi anafanyaa kweli? Lakini muda utaongea
Kuna makabidhiano ya ofisi ivyo atapata wasaa.. Ila kumbe huyu jamaa juha kiasi hikiBarua imemfikia kweli usiku usiku huu.
Vipi kama kuna antenna ulizitega ofisini unaruhusiwa kwenda kuzichukua
[emoji116]Hatimae Yametimia Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh.Sana Bw.Albert Chalamila hatunae tena kwenye Orodha ya Wakuu wa Mikoa hii ASUBUHI Kwani Uteuzi wake UMETENGULIWA.Tunamshukuru MUNGU kwa Kusikia KILIO chetu Sisi WANA MBEYA
Nadhani atakuwa si mzima kichwaniKuna makabidhiano ya ofisi ivyo atapata wasaa.. Ila kumbe huyu jamaa juha kiasi hikiView attachment 1814888