Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbea wa kishoga peleka salon.Chalamila anapokea habari za kutenguliwa akiwa ametokea kwenye ulabu kama alivyopokea siku Magufuli alipofariki.
Mke: Mume wangu umetenguliwa
Chalamila: Aaah mke wangu au ni wewe umepewa talaka? Nieleze vizuri.
Fita ni Fita muraa!!Sasa anapelekwa ambako watu hawarembi! Hawana maneno mingi! AKAMAKINIKE! Mara sio Tabora!!!
Nakaa kimya huku nikigonga mvinyo na pop corn zangu taratiiibuuuuu.We kahaba kaa kimya
Nenda youtube kwenye channel ya bmg tv kuna clips zake zoteHaipo bana.
Kwahiyo wewe upo saloon muda huu?Umbea wa kishoga peleka salon.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiWe kahaba kaa kimya
Wajapani wana msemo wao... "bilauli ya kwanza mtu hunywa pombe... bilauli ya pili pombe hunywa pombe... bilauli ya tatu pombe hunywa mtu!!" Sikushangaa mkubwa yule alipokengeuka na kusema "...hata rais akitukanwa ni sawa tu!!" Nikajua tayari fyuzi zimeshafyatuka...Yesu Kristo aligeuza maji kuwa divai.
Kamanda ulipigwa ban. Naona umerudi kama moto wa kifuuMumeanza 😂😂
Sawa mama ukiamka asubuhi usisahau.Kwahiyo wewe upo saloon muda huu?
Mtalia sana nyinyi sukuma push
Vp hela ya uhamisho? Au itabidi arudishe!?Sasa inabidi Jumatatu au Jumanne akajitambulishe Musoma
"Kazi iendelee......"
KwiiiiiishaaaaaaaaaaaaaaaaSawa mama ukiamka asubuhi usisahau.
Huyo Wakudadavua aliniudhi sanaKamanda ulipigwa ban. Naona umerudi kama moto wa kifuu
Nimetonywa na watu wakubwa mkoani mwanza,kumbe amesababisha mgogoro mkubwa mkoani,kwani ule kamati nzima ya ulinzi na usalama,mkoani hakuna maaelewano na wamegombana sanaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, na kumhamishia mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mara.
Hatua hiyo imetokana na Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa usiku huu wa Juni 11, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema katika mabadiliko hayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ally Salum Hapi anahamia Mkoa wa Mara.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo, Rais Samia amemteua Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Batilda Salha Buriani kuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Ally Salum Hapi.
Aidha Katibu Twala Wilaya ya Simanjoro Zuwena Omari Jiri ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga kuchukua nafasi ya Batilda Salha Buriani.
Taarifa hiyo imesema tarehe ya uapisho wa viongozi wapya itatangazwa baadae
View attachment 1814796
Nasikia ni mwalimu wa chuo kikuu. Arudi kushika chaki ukizingatia bado kijana.Wajapani wana msemo wao... "bilauli ya kwanza mtu hunywa pombe... bilauli ya pili pombe hunywa pombe... bilauli ya tatu pombe hunywa mtu!!" Sikushangaa mkubwa yule alipokengeuka na kusema "...hata rais akitukanwa ni sawa tu!!" Nikajua tayari fyuzi zimeshafyatuka...
Jmani huyo Jafari atumie font Kama za msigwa hiyo font hata hainogi
Mabango mabango na lugha au kauli za ubabe za mwendazake hazina nafasi ktk awamu ya sita. Kiongozi unatakiwa utumie kauli za kushawishi na siyo zitisho n.k.
Tujikumbushe jana RC Chalamila alisema nini :
9 Jun 2021
Mwanza, Tanzania
"MABANGO KWA RAIS SAMIA YAWE NA NIA NJEMA, NITAKULA NAO SAHANI MOJA"— RC CHALAMILA
Mkuu wa mkoa wa Mwanza wakati akizungumzia ujio wa Rais Samia Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku tatu amegusia suala la Wananchi kujitokeza na mabango mbele ya Rais kuwa yawe na nia njema na wasingoje hadi ujio wa Rais kwani ofisi yake ipo wazi muda wote