Kama walivyokuwa wamejea akina Masanja,waislam ni watanzania ,acheni uchizi ,mama piga kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama walivyokuwa wamejea akina Masanja,waislam ni watanzania ,acheni uchizi ,mama piga kazi
Huu uropokaji ndio umemwondoa alishaonywa huwezi kuwa kiongozi mropokaji Kama vile alitakiwa awaombe Sana mwanza kwa unyenyekevu wajitokeze kumpokea Rais na kuonyesha moyo wa upendo na awaombe kuwa yeye ni mgeni wasimwangusheChalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
Hivi ungekuwa wewe ungeweza kumuacha mkuu wa mkoa ambaye anahimiza watu waje na mabango hata ya matusi kwenye ziara ya Rais. Chalamila ana hitilafu kwenye ubongo!!Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Yeah wakuu wa mikoa huwa wanamalizana kabisa kwa sababu wao sio watumishi wa serikali, hivo akapewa chake fasta ndani ya miezi mitatu tu.Ila kama una kosa la kijinai hupewihivi akitenguliwa anapewa stahiki zake zote
Tuliandika humu kapelekwa kwenye lango la kutokea asipotuliza akili... wapambe wake wakatubeza Dar na Mwanza ni viatu vikubwa kwa "wenye miguu midogo..." waliokuwa wakimshangilia kwa hizo walizozisifia kuwa ni "akili" nadhani sasa wameelewa "...kwanini ilisemwa pombe kitovu cha uzembe!!" Ati ni comedian.... pole yake twamkaribisha uraiani ambako asipojichunga "wakalimani" watatafuna masurufu na mafao akija tahamaki....Mlevi Chalamila amefanya kosa gani huko?
Nikinywa pombe na kumaliza chupa ya mwisho huwa sipotezi uwezo wa kufikiria. Kila kitu kikitumiwa kwa kiasi huwa hakina maumivu wala hakileti fedheha.
Una matatizo ya akili kama ya kenge jikeMbuzi wa kafara. Wadanganyika kesho wanaamka na Agenda ya Charamila wanasahau Mambo ya bajeti na Kodi za 'Ovyo ovyo'
Tuliandika watu wa "vetting" iko siku watatuwekea mtu atakayefanya "tukio"Hivi ungekuwa wewe ungeweza kumuacha mkuu wa mkoa ambaye anahimiza watu waje na mabango hata ya matusi kwenye ziara ya Rais. Chalamila ana hitilafu kwenye ubongo!!
Mama ninzawadi toka kwa MunguMama Shikamoooo....
Hawana muda mrefu ofisini tutegemee wateuliwa hawa wapya wataaapa na wakuu wapya wa vyombo vya ulinzi na usalama, either SIRRO au DIWANI mmoja wao lazma aachie ofisi ndani ya mwezi huu.Kwa nini hatengui teuzi za SIRRO & DIWANI waliokuwa wakisimamia mauji na utekaji wa watz
Mama Samia kamtengua Chalamila alimuonya kuhusu uropokaji akacheka
Nadhani nimeshalijibu swali lako.Hivi ungekuwa wewe ungeweza kumuacha mkuu wa mkoa ambaye anahimiza watu waje na mabango hata ya matusi kwenye ziara ya Rais. Chalamila ana hitilafu kwenye ubongo!!
Siyo kweli!Wanakudanganya mwayego!😂😂😂😂😲😲😲 kweli???
Hii awamu ya sita tusitegemee makubwa na vile rimoti ipo msoga, tugemee kuongezeka kwa watendaji wezi na mafisadi wa kutosha.Usiamini maigizo ya wanasiasa. Sasa hivi tupo kwenye bajeti. Wasitutoe kwenye reli!.
Hivi kati ya CHALAMILA na mke wa NDUGAI nani hafai? Yule mama alipata hati chafu ya ufisadi Bahi mama kampandisha cheo kuwa RAS Dodoma.
Yajayo yanahuzunisha!
Kapatawapi pDuh chalamila kaliwa kichwa,pombe itanywekwa kweli?haha
Lazima wafanye ivyoo lazima anamadudu mengi sanaaaHaya sasa twende kazi,, mama hoyeee!!!🤣🤣🤣
Takukuru wanaweza wakawa wanapiga jaramba sasa hv!
Punguza kulala. Usiku huu kuna breaking news zaidi ya tatu.😲😲😲 kweli???
Aibu ya nn? Cheo ni sawa na koti la kuazima tu ndg. Mwenye koti akilihitaji huna sababu ya kuona Aibu.Aibu sana na fedheha hii kwa chalamila