Doing it first doing it right ,ngoshaHmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doing it first doing it right ,ngoshaHmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Alisema kabla ya kulala anagonga bia za kutosha kupata usingizi mzuri,kama kawaka inawezekana taarifa bado hana,pombe ikakata atakuta SMS za kumpa pole za kutoshaKaanza na kiberiti [emoji23] ,dadeq walah jamaa wenge sana yule akanywe ulanzi sasa kwao huko
Lkn kipindi Cha kampeni 2020 push up zilimshinda. Kuna siku alijaribu akapiga mbli.Mpiga push ukimsifia tu kesho teuzi unapata wote walipata kwa style hio
Atakua amelala usingizi wa pombe. Akiamka kwanza anatafuta supu ya utumbo ambao haujaoshwa vzr. Yaani una harufu ya mavi kwa mbaliDuu huo muda wa hio taarifa, mtu kalala za kwa raha anaamka asubuhi anakutana na taarifa mbaya utadhani aligombana na shetani usingizini!!
Naona mama anaenda mle mle mwa Mwendazake. Sasa naanza kumwelewa mama aliposema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja: teua - tengua - piga chini !Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Wakulaumiwa Ni watu wa vetting, hawako makini. Rais hawezi kujua Chalamila anamichepuko mingapi na mingapi Ni ya ovyo.Naona mama anaenda mle mle mwa Mwendazake. Sasa naanza kumwelewa mama aliposema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja: teua - tengua - piga chini !
Ila kwa maneno aliyoyaongea huyo jamaa, kama hiyo ndo sababu ya kutenguliwa, basi naiafiki kabisa.Naona mama anaenda mle mle mwa Mwendazake. Sasa naanza kumwelewa mama aliposema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja: teua - tengua - piga chini !
Alijisahau sana alikuwa ana majigambo sanaAisee kichwa kimeliwa mapema kabisaaa
Mpeni muda mama awatambue kuwa kuna wanafiki wengi bado kutumbuliwa.Du! Kama Magufuli vile! Chalamila alishindwa kutofautisha sanaa, siasa na kazi. Bado hata huyo Hapi hafai.
Uwezo wa Happi ni mikoa midogo midogo kama simiyu,geita,katavi Mara kule atatahiriwa.Kule ni ngome ya chadema
Kweli kabisa...Jmani huyo Jafari atumie font Kama za msigwa hiyo font hata hainogi
Hata huu wa utumbuaji naona kazi inaendelea 😂😂😂Samia = Magufuli
Hakuna mradi hata mmoja utakaolala.
Wanafanya,sasa maza anawapa fursa za kujirudi na kujisahhisha,usipochange basi you are goneHmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Chalamila ktk press kasema watu wampokee Rais hata kwa mabango ya matusi,duuuuhHmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?