Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Ally Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, jumatano na alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, ijumaa amehamishwa mkoa.

Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.

Ally Hapi inabidi ajichunge sana huko Mara ama sivyo huko ndio utakuwa mwisho wake!!!
 
Anataka leta vurugu Rais apokelewe na mabango ya matusi! Daaaah! Kwanza sheria inapinga mtu kutukanwa na kudhalilisha.
Huyu alitaka mdhalilisha Rais. Ahojiwe!

Na bahati mbaya tayari kuna lugha zisizo na staha zinazoishutumu awamu ya 6 ktk mitandao, lakini RC aliyetenguliwa hivi karibuni alikuwa hazifahamu kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kiasi cha kuwaambia sasa watu ni ruksa kuja na mabango ya matusi ktk ziara atakayofanya mkuu wa nchi.

Niliona ktk video clip hata RPC wa mkoa wa Mwanza alistuka na kutahayari kufuatia kauli ya Mkuu wa Mkoa kuwezesha mazingira ya fujo, vurugu , na hata pengine kupelekea vyombo vya dola kutumia nguvu wakiona mabango ya matusi mbele ya mheshimiwa Rais.
 
Mbuzi wa kafara. Wadanganyika kesho wanaamka na Agenda ya Charamila wanasahau Mambo ya bajeti na Kodi za 'Ovyo ovyo'
mwisho wa kuongelea hiyo bajeti kwani ni leo? si ndo kwanza inaanza kuwa debated jumatatu au hadi j3 watu watakuwa wanaongelea chalamila?watu wamefurahi takataka za mwendazake zinapungua
 
Sina uhakika nahiyo sahihi ya jaffari hanimu kamaniyakwake au tunalishana matango pori humu hazifanani chunguzeni kwanza
IMG-20210609-WA0040.jpg

Ni kwake ni mwendo wa mpishano tu
 
Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.

Anateua leo, jioni anatengua.

Kesho anateua, keshokutwa anatengua!

Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??

NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
It was very clear from the very beginning that this Dude did not have what it takes to be the RC. Not surprised that he is now thrown under the bus, nilishangaa yeye kuendelea kuwa RC.
 
Back
Top Bottom