Kuna clip ya kuhusu mabango ya matusi imeshawekwa kwenye huu uzi. Page ya 1 au ya 2.Inapatikana wapi hiyo clip? Unaweza kutuwekea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna clip ya kuhusu mabango ya matusi imeshawekwa kwenye huu uzi. Page ya 1 au ya 2.Inapatikana wapi hiyo clip? Unaweza kutuwekea?
Mama Hachapi anaFinya..Kwahiyo jamaa chakula cha usiku alikula akiwa mkuu wa mkoa, anaamka kama raia wa kawaida
Hapana mkuu personal opinion!Seriously, Mkuu?
Haipo bana.Kuna clip ya kuhusu mabango ya matusi imeshawekwa kwenye huu uzi. Page ya 1 au ya 2.
Huyu naye si kaliwa kichwa?Gerson Msigwa kaipost kwenye ukurasa wake wa Twitter muda wa saa 7:55 usiku (1:55 a.m) wa tarehe 11/6/2021.
Mkuu Mbio za sakafuni huishia ......Yule jamaa Its either anavuta bangi,unga au pombe kupita kiasi au anajaribu kufanya utani lakini hauwezi utani, anapitiliza mnoo siyo mara ya kwanza kutoa kauli za ajabu
Kule mbeya kipindi cha uchaguzi alisema ana hamu na damu za wapinzani kama litre 8 hivi ana mpango wa kuzimwaga,,,he is terrible.
Endemic ...Madam umenikumbusha MwekaChalamila ni endangered spices anatakiwa kulindwa asipotee.
Post #63 ukiingia you tube pia utakuta hotuba nzima aliongea vizuri tu nahisi jamaa analazimishaga utani halafu hauwezi siyo mara ya kwanza kuongeaongea vitu vya kipuuzi.Haipo bana.
Kila mtu na mwandiiko wake yeye anapendelea huo mwandiko ingawaje si mzuri sana kama wa yule wa songeaJmani huyo Jafari atumie font Kama za msigwa hiyo font hata hainogi
Imajini kipindi cha Mwendazake...post #63 ukiingia you tube pia utakuta hotuba nzima aliongea vizuri tu nahisi jamaa analazimishaga utani halafu hauwezi siyo mara ya kwanza kuongeaongea vitu vya kipuuzi
Ila hiyo siyo hapo naona alikuwa anafafanua kauli yake ngoja nitafute ile clip iko somewhere nitaituma hapa soon
Aiseeeh ....nukta Zimeunganishwa
No nyelile Nyanda LYALUMA
Nadhani Haniu bado hajajiunga na social media, hivyo anampatia Msigwa barua alizoandika ili azipost social medias.Huyu naye si kaliwa kichwa?
Bado aliyefuga Chatu.....Kibri kiliwazidi sana hawa wahuni na dhalimu. Walidhani yule dhalimu mwenzao ataishi milele ili kuwakingia kifua maovu yao. Sasa WANAJUTA!!!