Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,425
- 5,227
Haipo bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haipo bana.
Kwa sasa Dunia ni ndogo kushinda KIGANJAAaisee kelele zina nguvu
Ahsante!
Mkuu BAK Mungu ni MwemaOhooooooo! Mama kaiona hii na akaamua kufanya kweli 😂😂😂😂😂
Tukikumbushe kauli ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo mwezi April 2021
RAISI SAMIA SULUHU " SITAKI KUONA MABANGO KWENYE ZIARA ZANGU ITAWAGHARIMU WAKUU WA MIKOA "
Mungu kasikia MaombiHuyu mwezimiwa aliwahi kusema katika mkoa wa Mbeya hawezi kuruhusu mpinzani atangazwe mshindi wa kiti Cha ubunge.
Kashiriki sana kumfunga Sugu.
Aaisee kelele zina nguvu
🤣🤣🤣Chalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya rais atakayoifanya mkoani Mwanza na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
True, utenguzi wa usiku usiku mtaamuKuwa siriasi.usiku huu umepata wapi info ama wewe umemrithi msigwa nini
Mkuu BAK Mungu ni Mwema
Ili asipate tabu ya kujiandaa kukichaDuu mtu analiwa kichwa saa 8 usiku si wangesubili asubuhi jaman
Ogopa mtu asiyejuwa Kusoma na Kuandika ni fundi wa LogarithmMbuzi wa kafara. Wadanganyika kesho wanaamka na Agenda ya Charamila wanasahau Mambo ya bajeti na Kodi za 'Ovyo ovyo'