Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is vetting Kamanda? Inafanyika vipi?Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua
Sasa inabidi Jumatatu au Jumanne akajitambulishe MusomaAlly Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, jumatano na alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, ijumaa amehamishwa mkoa.
Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.
Sasa anapelekwa ambako watu hawarembi! Hawana maneno mingi! AKAMAKINIKE! Mara sio Tabora!!!Ally Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, jumatano na alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, ijumaa amehamishwa mkoa.
Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.
Doing your due diligence by using all the available resources at your disposal in order to get it right the first time.What is vetting Kamanda? Inafanyika vipi?
Kashangilia kwa sauti ugimbi ulipopunguziwa kodiMlevi Chalamila amefanya kosa gani huko?
Sina uhakika nahiyo sahihi ya jaffari hanimu kamaniyakwake au tunalishana matango pori humu hazifanani chunguzeni kwanzaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
View attachment 1814796
Seriously, Mkuu?Kashangilia kwa sauti ugimbi ulipopunguziwa kodi
Naye itakuwa kapewa muda tu kama mwenzie acha apumzike katuachia migogoro ya bajiji na daladala Mbeya huyu🙌🙌🙌chalamilla hafai kabisa, lakini mama namusangaa bado anaona hapi anafanyaa kweli? lakini muda utaongea
Du! Kama Magufuli vile! Chalamila alishindwa kutofautisha sanaa, siasa na kazi. Bado hata huyo Hapi hafai.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
View attachment 1814796
Chukua hii.Sina uhakika nahiyo sahihi ya jaffari hanimu kamaniyakwake au tunalishana matango pori humu hazifanani chunguzeni kwanza
Gerson Msigwa kaipost kwenye ukurasa wake wa Twitter muda wa saa 7:55 usiku (1:55 a.m) wa tarehe 11/6/2021.Press release ni ya tarehe 11, Juni.
Imetolewa baada ya saa sita usiku?
Umeona video yake ya juzi anasema mabango ruhusa kwenda kumpokea Rais hata kama yameandikwa matusi? Na video yake akihimiza kuua vibaka.Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
View attachment 1814796
Kuna clip inaonyesha akihimiza wananchi wakampokee Rais Samia Mwanza akawaambia ni ruhusa pia kubeba mabango hata kama yameandikwa matusiSeriously, Mkuu?