Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Yeah, he was wrong for that.Chalamila ktk press kasema watu wampokee Rais hata kwa mabango ya matusi,duuuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, he was wrong for that.Chalamila ktk press kasema watu wampokee Rais hata kwa mabango ya matusi,duuuuh
Yes,uyu Chalamila ana bolt imefeli kichwani Kama Jiwe!!asante mama kwa kupumzisha mlevi mmoja 💉💯 apelekwe milembe mara moja huyo
Apigwe pingu kinguvu apelekwe milembe uyo, sio mzima itakuwaChalamila ktk press kasema watu wampokee Rais hata kwa mabango ya matusi,duuuuh
Ally hapi akibadilika ni kiongozi mzuri sana,,aache tu ule ujinga ujinga wa enzi za diktetachalamilla hafai kabisa, lakini mama namusangaa bado anaona hapi anafanyaa kweli? lakini muda utaongea
Kama ilivyokuwa zarau kwa Wana Mwanza , ni dharau kwa Wana Mara kuwapa mteule mwenye kibri, dharau na makandokando, Mama rekebisha mapema Asante kwa Mwanza.Bado Ally Hapi
Unalazimisha ufanano sio..haupo huo ufanano.Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Ona ili zuzu nalo!!!!
uislamu umefanyaje binti, uho udini utaidhuru nafsi yako na afyaNaona uisilamu kila kona
Kwaiyo kakosea kumpiga chini Chalamila?!Kelele za kipumbavu...
Mama ana Demka.
hamna kitu palee hao wamesababisha hata kina mkuchika waendelee tu kupewa vyeo vijana wa hovyoo kabisa vifutu kwelikweliAlly hapi akibadilika ni kiongozi mzuri sana,,aache tu ule ujinga ujinga wa enzi za dikteta
Sio watanzania??! Simnasemaga waislamu hawana elimu ndio maana hawateuliwi wengi katika serikali?? Halafu Rais siku zote haangalii dini katika kuteua mtu, Cha Kwanza anaangalia elimu yake ,na je hana record ya jinai, na Ni raiaCHALAMILA kawapa ajira waislamu wawili: ZUWENA na BATILDA.
Labda afundishe comedyHivi Chalamila alikua anafundisha shule ya vidudu au chekechea
Aliringia kiburi cha uzima hali sisi ni wapangaji tu wa dunia hiiLkn kipindi Cha kampeni 2020 push up zilimshinda. Kuna siku alijaribu akapiga mbli.
Laigwan bado anadunda Kama mtoto wa skuli.
Ulishazoea yale majina ya akina kishimba sio ,tulieni sindano iwaingie ,waislam nao ni watanzania kama walivyokuwa akina kishimbaNaona uisilamu kila kona
Mama ni mdini sana. Waislamu ni muda wenu huuCHALAMILA kawapa ajira waislamu wawili: ZUWENA na BATILDA.