Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Hayo malevi yote ya madaraka kipindi cha dhalimu ni kuyapiga chini ya kale jeuri yao.
 
cheo ni dhamana.
chalamila hajaliwa kichwa ila ndio utaratibu wa vyeo.
cheo ni dhamana sio chako......hupaswi kuishi kama vile cheo umezaliwa nacho, unaweza kuachishwa au hata kufa.
 
Mbuzi wa kafara. Wadanganyika kesho wanaamka na Agenda ya Charamila wanasahau Mambo ya bajeti na Kodi za 'Ovyo ovyo'
Acha ujinga wewe bajeti imeshapita hiyo hata ukiijadili hakuna kitakacho badilika, kuna wabunge zaidi ya 300 bungeni hawajafanya kitu unataka sisi humu jf tufanyeje?

Kamsaidie ndugu yako chalamila kubeba mizigo yake kurudi place of domicile, imeisha hiyooooo

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Inamana chalamila tunampeleka mkoa gani Mana nafasi zimejaa Sasa
 
Watamwelewa tu. La vichwa lazima viliwe. Ukiwa mteule lazima uelewe anachotaka hujui uliza.
 
Hizi teuzi na tengua za usiku inaeza ikafanya mtu afie usingizini..Haya Chalamila karibu kitaani upambane na chaki,ngoma yako ilivuma sana nawee.
 
Mwenye CV ya huyu chalamila au hata story yake kwa ufupi atupe jamani. Magufuli alimuokota wapi huyu mzee?? Ni kiongozi wa ajabu sijapata kuona, hakufaa kabisa kua kiongozi mkubwa namna hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…