kama aliyemteua na kumtengua hajaweka wazi sababu hii tutaita ni ukudaChalamila atenguliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama aliyemteua na kumtengua hajaweka wazi sababu hii tutaita ni ukudaChalamila atenguliwa
Muulize Jafar haniuHmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua...
Delilah apendi ubishi na kujipendekezaChalamila atenguliwa
Ipo comment ya 15 .Ni lazima ilikuwa atumbuliwe.Amejitakia.Huwezi kuhimiza watu waandike matusi ukaachwa hivi hiviIko wapi hiyo clip?
Wahi sasa Mirembe ukapimwe Ubongo.Chalamila ni kiongozi madhubuti kwelikweli. Vijana wa jijini Mbeya uliwabeba sana hususan wa Bajaj. Hatuwezi kusahau.
Binafsi ulinisaidia kutatua mgogoro wa ardhi mpaka leo amani inatawala.
Sina shaka ni suala la muda kurudi kwenye nafasi yako.
Kabisa. Yaani jamaa hajui kabisa kuchagua maneno ya kuongea, lolote likimjia basi analirusha kama lilivyoSeriously??
imagine yupo kiunoni ndo anapata taarifa...Duu huo muda wa hio taarifa, mtu kalala za kwa raha anaamka asubuhi anakutana na taarifa mbaya utadhani aligombana na shetani usingizini!!
Ni mwehu tuu anaweza kusikiliza bunge la ccm.kungekua na nondo za kina lisu, msigwa,mdee etc etc tungesikilizaSiyo kwamba wamezipuuza ila watz wengi ni wajinga na wapumbavu!
Hivi unapuuzaje taarifa zitakazoathiri maisha yako kwa miaka zaidi ya 2 ijayo huku ukikomalia taarifa ya mtu mmoja ambae hana impact yeyote kwenye maisha yako? Kama si upumbavu ni nini hiki?
Hapana uropokaji wake, huwezi ukawaambia wananchi waje kumpokea Rais na mabango ya matusi
Sasa Mama anatumbua kwa hasira. Hii so sawa. Alitakiwa aisikilize hotuba yake yote. Siku hizi editors wamejaa kila Kona.Ukisikiliza hutuba yake nzima alimaanisha hayi mabango waende nayo ofisi kwake hata wakiandika matusi waende nayo kwake sio siku ya ziara ya Rais ..
Sasa sielewi kwanini watu wamekata kipande kidogo !!
Alikuwa ni Mhadhili Msaidizi kwenye moja ya chuo kikuu kimoja wapo Mkoani Iringa. Ni maarufu sana Iringa kwa uimbaji wake wa nyimbo za Kihehe. Na ni Mnyalukolo wa kutokea Wilayani Mufindi bila shaka.Alikuwa anafundisha wapi before?