Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Alafu mama bwana yani,,unalala zako napombe asubuhi unaamshwa unaongea vitatarika vya pombe mkeo anakuonesha barua ya ikulu kutoka kwa,, Jafar haniu ,,unazima Kwanza ukiamka polisi wako mlangoni napingu na ukifungua mlango takukuru wapo getini wanakusubiri🤣🤣🤣🤣🤣
 
Chalamila ni kiongozi madhubuti kwelikweli. Vijana wa jijini Mbeya uliwabeba sana hususan wa Bajaj. Hatuwezi kusahau.
Binafsi ulinisaidia kutatua mgogoro wa ardhi mpaka leo amani inatawala.
Sina shaka ni suala la muda kurudi kwenye nafasi yako.
 
Na maisha ya mtaani yalivyo magumu sijui ataenda kufanya kazi,
 
Chalamila ni kiongozi madhubuti kwelikweli. Vijana wa jijini Mbeya uliwabeba sana hususan wa Bajaj. Hatuwezi kusahau.
Binafsi ulinisaidia kutatua mgogoro wa ardhi mpaka leo amani inatawala.
Sina shaka ni suala la muda kurudi kwenye nafasi yako.
Wahi sasa Mirembe ukapimwe Ubongo.
 
Mungu unajibu maombi yetu wasambaratishe wote waliovuruga uchaguzi mkuu ukitoka hapo hamia kwa wakurugenzi
 
Siyo kwamba wamezipuuza ila watz wengi ni wajinga na wapumbavu!

Hivi unapuuzaje taarifa zitakazoathiri maisha yako kwa miaka zaidi ya 2 ijayo huku ukikomalia taarifa ya mtu mmoja ambae hana impact yeyote kwenye maisha yako? Kama si upumbavu ni nini hiki?
Ni mwehu tuu anaweza kusikiliza bunge la ccm.kungekua na nondo za kina lisu, msigwa,mdee etc etc tungesikiliza
 
Hapana uropokaji wake, huwezi ukawaambia wananchi waje kumpokea Rais na mabango ya matusi

Ukisikiliza hutuba yake nzima alimaanisha hayi mabango waende nayo ofisi kwake hata wakiandika matusi waende nayo kwake sio siku ya ziara ya Rais ..
Sasa sielewi kwanini watu wamekata kipande kidogo !!
 
Walioiba kura wote wanaenda na mafuriko ya mto jangwani
 
Ukisikiliza hutuba yake nzima alimaanisha hayi mabango waende nayo ofisi kwake hata wakiandika matusi waende nayo kwake sio siku ya ziara ya Rais ..
Sasa sielewi kwanini watu wamekata kipande kidogo !!
Sasa Mama anatumbua kwa hasira. Hii so sawa. Alitakiwa aisikilize hotuba yake yote. Siku hizi editors wamejaa kila Kona.

Ingawa pengine inawezekana Kuna sababu ingine
 
Huyo Hapi na yeye his days are numbered... kitendo cha kuhamishwa hamishwa lindo kila baada ya wiki 2 si dalili njema!!
 
Mbona hawa wawili hawakupaswa kabisaaa yeye kuwateua tena , Chalamila , Ali Hapi Ni kosa lake kuteua watu wasio na sifa ona sasa kodi za wananchi zilivyopotezwa kwenye uhamisho wao .
 
Back
Top Bottom