Hata kama ni ofisini kwake. Je kama mabango mengine ya matusi yangemlenga Rais, waziri au kiongozi mwingine ingekuwaje? maana watu vichwa vimepata moto na ruhusa ndo keshatoa Chalamila.Ukisikiliza hutuba yake nzima alimaanisha hayi mabango waende nayo ofisi kwake hata wakiandika matusi waende nayo kwake sio siku ya ziara ya Rais ..
Sasa sielewi kwanini watu wamekata kipande kidogo !!
Hujamwelewa mama naona.Sasa Mama anatumbua kwa hasira. Hii so sawa. Alitakiwa aisikilize hotuba yake yote. Siku hizi editors wamejaa kila Kona.
Ingawa pengine inawezekana Kuna sababu ingine
Fuatilia mtandaoni!Utasemaje yuko sahihi wakati hajatoa sababu za kutengua uteuzi?
Amandla...
Weka hicho kipande chote.Ukisikiliza hutuba yake nzima alimaanisha hayi mabango waende nayo ofisi kwake hata wakiandika matusi waende nayo kwake sio siku ya ziara ya Rais ..
Sasa sielewi kwanini watu wamekata kipande kidogo !!
Ha ha ha !Ila mimi nilikua nampenda..dah tutakosa vituko..nimeumia sana
Inshort jamaa,alikuwa anajua anytime ataliwa head,hata yeye hakuwa ok kuendelea kuwa konda wa Basi linalomilikiwa na tajiri ,ambae kimsingi Hana Imani nae!Kuna clip inaonyesha akihimiza wananchi wakampokee Rais Samia Mwanza akawaambia ni ruhusa pia kubeba mabango hata kama yameandikwa matusi
Comedy imeisha ghaflaIla mimi nilikua nampenda..dah tutakosa vituko..nimeumia sana
Alimpa fursa ili abadilike ila akashindwa kusoma alama ya wakati.Mama alikua anamtafutia sababu ya kumla kichwa toka kitambo
yaan aliwachapa na kuwaambia walipe faini shule ya secondary kiwanjaAlichapa wanafunzi wa shhule fulani
Mama anajibainisha kama kiongozi asiyetaka mbwembwe! Wote wanaotaka mbwembwe wakaunde makundi ya sanaa za vichekesho kwani nayo ni shughuli halali na pia yenye kuelimisha jamii, lakini kutumia u-RC kufanya hivyo HAPANA.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, na kumhamishia mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mara.
Hatua hiyo imetokana na Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa usiku huu wa Juni 11, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema katika mabadiliko hayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ally Salum Hapi anahamia Mkoa wa Mara.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo, Rais Samia amemteua Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Batilda Salha Buriani kuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Ally Salum Hapi.
Aidha Katibu Twala Wilaya ya Simanjoro Zuwena Omari Jiri ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga kuchukua nafasi ya Batilda Salha Buriani.
Taarifa hiyo imesema tarehe ya uapisho wa viongozi wapya itatangazwa baadaye.
View attachment 1814796
Hii ni Danganyika MkuuSiyo kwamba wamezipuuza ila watz wengi ni wajinga na wapumbavu!
Hivi unapuuzaje taarifa zitakazoathiri maisha yako kwa miaka zaidi ya 2 ijayo huku ukikomalia taarifa ya mtu mmoja ambae hana impact yeyote kwenye maisha yako? Kama si upumbavu ni nini hiki?
Ametoa sababu mtandaoni? Au watu wana speculate mtandaoni?Fuatilia mtandaoni!
Ni suala la maisha yako!Ni mwehu tuu anaweza kusikiliza bunge la ccm.kungekua na nondo za kina lisu, msigwa,mdee etc etc tungesikiliza