Rais Samia atengua uteuzi wa Eric Hamissi, Mkurugenzi Mkuu wa Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)

TRA ni kirusi kama virusi wengine
Wanataka kodi kubwa ya kumfilisi mfanyabiashara

Watanzania wanapenda sana kulipa kodi ila kodi ziwe za chini watu wengi wahamasike kulipa tatizo hao wapumbavu wakija kukukadilia kodi utatamani ufunge duka ukalime.

Nyie wenye matumbo ya mbele ebu shusheni kodi watu tulipe kodi.
 
Lakini tumeyapigia kelele haya mambo muda mrefu sasa naona mmeanza kuelewa
 
Kwani Mama kasema Eric ana tatizo au ameamua kumbadilisha tu na huenda anataka kumpangia kazi nyingine.
 
Ni kweli mkuu, sasa sijui tufanye nini kuondokana na hali hiyo?
Hao wanaokula huko kwenye bandari, madini,n hifadhi kama ngorongoro ndio wanaohakikisha Tanzanua hatupati viongozi tunaowataka bali wanaowataka wao.

Hizo safu za viongozi na management kama hizo za TPA ni watu hatari sana. Hawapo hapo kibahati mbaya.
 
 
Kashaiba zimemtosha...
Anaenda iba mwingine..
 
Hao uliowataja wanatakiwa wachungunzwe na takukuru, huenda huo unaoita utengenezaji wa case fake unawapatia hela ya sigara mara kwa mara.
 
HUYU DG KAFANYA KAZI SANA KWA MDA MFUPI LAKINI FITINA ZA WAARADU WA SILENT INN NDO ZIMEMUONDOA
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeongea kwa uchungu sana
 
Yani Serikali inashindwa kuisimamia bandari..
CCM ni laana aisee..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeongea kwa uchungu sana
Mkuu hawa jamaa sio kabisa..
Walikuja kumkadiria mtu hapa alitamani afunfe duka..alichowajibu Mungu tu ndo anajua..

Hawako fea kabisa wanadhani unapata faida kubwa kumbe maisha yetu tunayajua..
 
Ngoja niotee unazungumzia Gsm, Azim dewji mzee Wa Simba Logistics, TRH , Alistair, Bollore ,FFT, Manji
Watu wa ndani wa TPA wanawajua hawa watu, TRA wanawajua hao watu, serikali kuu kupitia vyanzo vyao vinawajua fika. Tatizo ni kua hao ndio wadhamini wa wakubwa na chama chao, walihusika kuiweka madarakani awamu fulani chini ya kikundi chao cha "wanamtandao".

Jamaa fulani alikuja akajitahidi kuwadhibiti, ila walimtangulia.... nchi hii kwenye sekta ya Nishati ya gesi, madini,mafuta, umeme pamoja na rasilimali kama mbuga za wanyama nk ni za wenyewe.

Tumbua huyu weka yule haitatusaidia. Ni lazima kuangalia upya sera za kulinda maeneo ya kimkakati ya nchi. Kwa bandari zilizopp Tanzania ni eneo la kimkakati tulilopo ilitakiwa tuwe mbali kiuchumi, sisi sio wa kukopa trilion moja kujenga madarasa.
 
Usalama wa nchi mmmmmm sidhani,Botswana ni land locked country na ipo very stable country labda zaidi yetu
Umenielewa kweli? Ni sawa na kusema mipaka ya haao Botswana iwe chini ya private companies.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…