Kwa nini usilaumu uwezo wetu wa "kutongoza" ili tuwashinde hao Musumbiji na S. Africa.
Mkuu, 'theory' yako hii ni ngumu kuitekeleza. Sijui kama ulichotaja hapo juu
ndiyo mfano wa mipango ya namna hii?
SAWA, ni vizuri, palipo na tatizo kuwaza nje ya boksi, lakini hii yako hainipi matumaini.
Lakini nisikukatishe tamaa, jaribu kuijengea hoja, labda kuna siku wataalam wa maeneo haya wataidaka na kuiboresha zaidi; halafu huo ndio unakuwa mwanzo wa "The Bagamoyo Doctrine in Harbour Management."
Nakutakia mafanikio. Siku ikifaulu, usikose kunistua nami nishangilie!
wamemuonea tu maana hakuna serikali hata moja iliyoweza kuwasaidia hao ma DG katika kutekeleza majukumu yake ipasavyo.na wakati mwingine siasa zinakuwa nyingi zaidi ya utendaji hao hao wanaotumbua wenzao ndio hao hao wanaoagiza mambo yafanyike kinyume na utaratibu.
Wakoloni hawa wa Belge na shujaa wao gènèral Tombeur wa vita ya (Bataille de) Tabora, baada ya kushirikiana na Uingereza vita kuu 1914 -1918 kumshinda Mjerumani huku majeshi ya ki- Belgiji yakiwa yameweka makao yao makuu mjini Tabora hii ya sasa Tanzania wakati ule German East Afrika ilibidi mabwana wakubwa hawa wa ulaya wasaini mkataba. View attachment 2281414
Ubelgiji ilitaka kuendelea kukalia maeneo ya Tabora, Urambo, Kigoma, Biharamulo waBelge walifika na majeshi yao mpaka jimbo la Morogoro kilometa 200 toka bandari ya DSM lakini ikajiimarisha zaidi magharibi makao yakiwa Tabora na mtaji huu ukawa kama sehemu ya koloni lake ikimujuisha pamoja na nchi za Urundi-Ruanda, Free Congo ya mfalme Leopold. Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique
Ubelgiji ikaamua kutumia maeneo hayo iliyoyakalia ndani ya Ujerumani ya Afrika Mashariki baadaye ikapewa jina Tanganyika baada ya kuwafurusha waJerumani katika vita ya kwanza ya dunia upande huu wa Afrika ya Mashariki 1914 -1918, kama sehemu ya mtaji wao ktk mazungumzo kufungulia njia ya kufikia pwani ya bahari ya Hindi kupitia reli ya kati hadi bandari ya Dar es Salaam.
Nyarugusu, Tanzania Source : Tanganyika TV VITA VYA DUNIA HISTORIA YA MBAVU MOYA April 14, 2020 SHUJAA TOKA TARAFANI FIZI Wakati huu wa kumbukumbu la Vita vya Kwanza vya Dunia (Première Guerre mondiale ) vya 1914-1918 ambavyo uitwa pia "Vita vikuu" (Grande guerre),tumkumbuke afisa...
www.jamiiforums.com
Hivyo wakakubaliana na Waingereza kuwa iwapo Ubelgiji itaondoa majeshi yake toka Tabora, Urambo, Uvinza n.k basi makoloni ya Ubelgiji ya Burundi, Rwanda na lile kubwa la Free Congo (DR Congo) upande wa mashariki watapewa hadhi maalum ya kutumia reli ya kati toka Kigoma mpaka Dar es Salaam bila usumbufu wowote. Ubelgiji itachangia uimarishaji wa gati ktk bandari za Kigoma na DSM ambazo hazitatozwa ushuru wowote na kurahishisha biashara baina ya makoloni ya Ubelgiji pande hii ya Maziwa Makuu na dunia kupitia bahari.
Gati hizi zilijulikana kama BelBases na kampuni maarufu ya Belgium ya AMI ilipewa haki miliki za kufanya jambo hilo la eneo huru la kusafirisha na kuingiza bidhaa toka ngambo au kuuza ngambo kupitia reli ya kati na bandari za Kigoma na DSM ktk gati exclusive kwa matumizi ya waBelgiji.
Hivyo mh. Rais Paul Kagame anashangaa kwanza Tanzania ilivyo na geopolitical power kibiashara kuto copy aina ya uendeshaji na uwekezaji wa walivyofanya waBelgiji /Waingereza kupitia BelBases AMI kwa kushirikisha nchi jirani wawekeze ktk reli ya SGR reli mpya DSM - Kigoma-Burundi-Rwanda na DR Congo. Kwa kuwashirikisha wawekeze basi nchi hizo zingetumia bandari ya Dar es Salaam na mifumo ya reli nchini kwani Rwanda, Burundi na DR Congo wangekuwa wadau wa maendeleo na wangeachana kupitisha mizigo Uganda, Kenya hadi bandari ya Mombasa kwa kuwa wangekuwa wajinga waache kutumia uwekezaji wao wawafaidishe wengine, huku kubwa ni kuwa mkataba wa ulioanzisha BelBases ulionesha mafanikio makubwa.
Tanzania ingeweza kufufua makubaliano ya namna hiyo ya uwekezaji jumuishi baina ya mataifa ya eneo hili yangeigeuza bandari ya Dar es Salaam kuwa bandari mojawapo kubwa ki-operesheni kwa kupakua na kupakia mizigo, kuigeuza Dar es Salaam kuwa Dubai ya Afrika Mashariki kwa kuvutia wawekezaji na namna tunavyoheshimu mikataba ya kimataifa n.k kama zifanyavyo nchi za bandari za Singapore, Dubai n.k
Nini kifanyike?
Wazo la rais Paul Kagame linaweza kukabaliwa kwa kuwaingiza Rwanda katika ubia, nini kinashindikana ikiwa airport ya KIA Klilimanjaro Airports tumewakaribisha OmanAirports kuwa wabia ktk uendeshaji.
Oman kupitia Shirika lake la Viwanja vya ndege vya Oman Jumatatu Juni 13 walisaini mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege ya Kilimanjaro (KADCO) ili kuendeleza jengo la abiria la VIP katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Makubaliano hayo yalitiwa saini...
www.jamiiforums.com
Nini sababu ya sisi majirani wa kihistoria na tamaduni kuogopana kuendesha miradi mikubwa ya reli na bandari mpaka twende alika kampuni ya India, China au South Afrika waje waendeshe wakati kuna mfano hai kuwa kulikuwepo ukaribu wa uendeshaji wa reli, gati na bandari baina ya nchi hizi jirani na zilisaini mikataba iliyona manufaa kwa eneo hili la Afrika hususan Ruanda-Urundi-Tanganyika na Free Congo? Tuache chonyo kwa kisingizio cha uzalendo uchwara wakati diplomasia ya kweli ya kiuchumi kupitia mikataba maarufu wa mwaka 1921 kama ya Belbases Agence belge de L'Est Africain. Belbase.
Le gènèral Tombeur et Bataille de Tabora
22. Exchange of notes accepting the protocol signed at Kigoma, on 5 august 1924, relative to the Tanganyika-Ruanda-Urundi frontier. Brussels, 17 May 192646,47
(46League of Nations, Treaty Series, vol. 54, p. 239.)
(47See also the Agreement between the United Kingdom and Belgiun regarding Water Rights on the Boundary between Tanganyika and Ruanda-Urundi, London, 22 November 1934, in Legislative Texts and Treaty Provisions concerning the Utilization of International Rivers for Other Purposes than Navigation (United Nations publication, Sales No. 63.V.4), p. 97.)
No. 1 - The British Ambassador at Brussels to the Belgian Minister for Foreign Affairs
Brussels, 17 May 1926
Monsieur le Ministre,
I have the honour, under instructions from His Majesty's Principal Secretary of State for Foreign Affairs, to convey to Your Excellency by the present note the formal acceptance by His Majesty's Government of the Protocol signed at Kigoma on 5 August 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.
I am at the same time instructed to draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and to invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that, at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.
I should be grateful if Your Excellency would be good enough to confirm to me that the Belgian Government is in agreement with His Majesty's Government with regard to the arrangements indicated in the preceding paragraph.
I avail myself of this opportunity, etc.
No. 2 - The Belgian Minister for Foreign Affairs to the British Ambassador at Brussels
Brussels, 17 May 1926
Your Excellency,
I have the honour to acknowledge receipt of your letter of today's date, in which you are good enough to inform the Royal Government that His Britannic Majesty's Government accepts the Protocol signed at Kigoma on August 5, 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika Territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.
The Belgian Government also approves these documents.
At the same time you draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.
The Belgian Government has the honour to confirm to Your Excellency that they are in agreement with His Britannic Majesty's Government with regard to these arrangements.
................................................................
9 December 2020
Rais Magufuli aeleza sababu ya somo la Historia kuwa la lazima
Magufuli : Historia ya kweli ifundishwe, vijana lazima waifahamu historia yetu tumetoka wapi. Haiwezekani watoto wetu wafahamu historia ya Mansa Mussa wa huko Afrika ya Magharibi lakini hata ya "kwetu" hawaifahamu. ( Kigoma iliyokuwa ndani ya Ruanda-Urundi mpaka 1924 chini ya utawala wa Ubeljii) hawaifahamu.....
A FORGOTTEN PAGE OF BELGIAN COLONIALISM IN AFRICA
Belgian bases in East Africa
The Belgian colonial period ended with the independence of Burundi and Rwanda on July 1, 1962, but there is still a vestige of our colonial past: the Belbases in Tanzania.
In 1919, during the negotiation of the Treaty of Versailles, Great Britain was able to seize almost all the German colonies in East Africa. Rwanda and Burundi became Belgian mandate areas.
But Belgium, which had also participated in the war effort in East Africa, was not satisfied, protesting strongly. She received in 1921 from the British a commercial gesture as a consolation, the so-called Belbases (from "Belgian Bases"), sites in two ports of Tanganyika: Kigoma on Lake Tanganyika, and Dar es Salaam on the Indian Ocean , with free transit on the railway between these two ports.
This agreement was signed 100 years ago, on March 15, 1921.
Belgium leased the concession for a symbolic franc per year, where it could build docks and warehouses, initially in perpetuity, from 1956. for 99 years.
Goods to and from the Belgian colonies in Central Africa could pass tax-free via the railway. The Belgian government entrusted the operation to a private company, the Belgian East African Agency, which later became the International Maritime Agency (AMI).
In 1956, the Belbases were transferred to the colonial government, which now funded the infrastructure. After the independence of Congo, Burundi and Rwanda, the Belbases became the joint property of the former colonies.
The transit zone gradually lost its economic importance and, certainly after the riots of 1991 (Congo) and 1994 (Rwanda), traffic from Central Africa stopped. Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.
Even if they have not been used for 25 years, in theory these Belbases still exist, because the four countries (Tanzania, Burundi, Congo and Rwanda) have not yet been able to agree on compensation for the takeover of the installations.
On March 15, 1921, the Belgian and British governments signed a convention concerning " the free passage of persons, mail, goods, ships, vehicles and wagons from or to the Belgian Congo ", including the protectorate of the Rwanda - Urundi.
The last Belgian manager
From January 1992 to December 1995, Guido Fallentheyn was the last Belgian manager of the Belbases in East Africa.
KATIKA MIAKA KUMI ILIYOPITA, WAKURUGENZI WAKUU WA BANDARI 6 WAMETUMBULIWA / WAMEBADILISHWA
MIZANI YA WIKI |Ni kwa kiasi gani bandari inaweza kuwa na tija kwa Tanzania?
Mifumo mizuri ya kuifanya bandari kuweza kuchangia nusu ya bajeti ya serikali ni ufanisi ,vitendeakazi, tabia nzuri za wafanyakazi wote katika kujitoa , ujuzi, barabara, reli na TRA.
Wadau toka DR Congo Bw Sergie Abdallah, pia ofisa wa chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania TAFA Elitunnu Malammia , mjumbe wa kamati ya miundo mbinu bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania engineer Mwanaisha Ulege (MB) na Alhaj Adam Kimbisa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki wanaongea kwa undani changamoto za bandari ya Dar es Salaam inayopata ushindani toka bandari zingine kuhudumia mizigo kwa ufanisi na uharaka ya nchi za Zambia, DR Congo, Rwanda, Burundi, Malawi
Source : Azam TV
Nini kinashindikana bandari zetu kukaribisha ubia Rwanda, DR Congo, Burundi, Zambia kushiriki ktk upanuzi wa bandari zetu na hii itapelekea pia kushiriki kama wadau-wawekezaji ktk reli ya SGR mpya na kuifufua TAZARA kwa nchi wadau kuongeza mitaji na bandari za Tanzania kupakua na kupakia mizigo mingi kwani nchi hizo zitakuwa na uhakika kama mkataba wa Belbases
Comparativ › ...PDF
The Belgian Base at Kigoma's Rail- head (1920s–1930s). Territorial ...
by G Castryck · 2015 · Cited by 2 — Salaam with Kigoma on Lake Tanganyika, and hence with eastern Congo. The railway ... required a distinction between
MRADI WA UBIA NCHI TATU, SEKTA YA UMEME
UPDATE ON REGIONAL RUSUMO FALL HYDROELECTRIC POWER PLANT
Mr. Darren PROTULIPAC, the Project Manager breaks down the structural configurations, the investment ASK, and the socioeconomic impact of the regional project-RRFHPP
DAR ES SALAAM PORT DOCUMENTARY Dar es Salaam is Tanzania’s principal port that handles about 95% of Tanzania’s international trade. The port serves the landlocked countries of Malawi, Zambia, DR Congo, Burundi, Rwanda and Uganda. According to World Bank analysis, if Dar es Salaam port reached...
www.jamiiforums.com
MARITIME BUSINESS: 80% OF RWANDA's GOODS USE DAR ES SALAAM PORT
Tanzania Truck Owners Association CEO at Tanzania-Rwanda Trade Forum in Kigali 2016
Our CEO Emmanuel Kakuyu speaking at the May 2016 Tanzania-Rwanda Trade Forum in Kigali, Rwanda promoting trade between the two countries ; TATOA ; usage of trucks belonging to TATOA members and the Dar-Es-Salaam Port.
Source: Lupo Chambaka
UAMIMIFU WA MADEREVA MUHIMU KUVUTIA MATUMIZI YA BANDARI
Suala mtambuka linalotakiwa wadau wa bandari kama wasafirishaji wa mafuta kwa malori kuajiri madereva waaminifu ili kuvutia wateja kutumia bandari za Tanzania.
Hilo limeibuka katika mkutano wa wadau hawa muhimu ambao ni wamiliki wa malori na madereva wa malori hayo yanayofika mpaka nchi jirani walipojadili changamoto zinazofukuza wateja toka nchi jirani kupelekea kusitisha mikataba kutokana na udokozi pia michezo michafu ya baadhi ya madereva.
Wamiliki wa malori wa kiTanzania wataka mbinu ya kudhibiti wizi ktk malori ya kusafirisha mafuta inayotumika Rwanda itumike Tanzania, mbinu hiyo ni kuwa serikali ya Rwanda imepiga marufuku uuzaji mafuta kupitia mageleni na chupa, vifaa hivyo hutumika kuuzia mafuta yaliyonyonywa kutoka malori yanayosafirisha mafuta.
MADEREVA NAO WAZUNGUMZIA CHANGAMOTO KUBWA KTK AJIRA ZAO
Kuongezeka ufanisi wa bandari mambo mengi mtambuka nje ya TPA yanatakiwa kuzingatiwa na wadau wakubwa wa bandari, serikali za mikoa, serikali kuu ya Tanzania na serikali za nchi jirani pamoja na vyombo vyake kama idara za ushuru, kodi na usalama.
Madereva wafunguka visababishi vya migomo, udokozi, malori kukaa siku sitini nje ya nchi, mishahara duni, posho duni za overstay nchi jirani zinazolipwa na matajiri waTanzania wamiliki wa malori jinsi zinavyoathiri ufanisi ktk sekta hii muhimu ya usafirishaji ambayo ni mdau mkubwa wa bandari.
Source : Tanzania Drivers Media
27 July 2022 Waziri mkuu Kassim Majaliwa atinga kujaribu kupata ufumbuzi sekta ya usafiri wa malori ambayo ni mdau mkubwa wa bandari
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema migogoro iliyopo ndani ya sekta ya malori inataka kuchafua taswira ya nchi na kupoteza wateja wanaotumia bandari za Tanzania
Source : millard ayo
Kwa karibu mwezi mmoja sasa Sekta ya Usafirishaji inatikiswa na migomo ya hapa na pale ya madereva. Wanahamasishana kudai mishahara, posho na ongezeko la mafuta. Wiki iliyopita Chama cha Wasafirishaji Tanzania (TAT) kiliandaa mkutano wa vyama vya usafirishaji vya TATOA na TAMSTOA kujadili suluhu ya migomo hiyo.
Makala haya ya mtandaoni yaliyoandaliwa kwa hisani ya kitengo cha televisheni ya mtandaoni cha TAT, itakayokuwa hewani karibuni, ni ya mahojiano na uongozi wa juu wa TAT kuhusu athari za dhahiri za migomo hiyo na ushauri wa jinsi ya kuitatua.
TAT kama mdau mkubwa wa kuvutia wateja kutumia bandari ya Dar es Salaam watoa ushauri wa kupata jawabu endelevu la kuzidi kuhakikisha wateja wa usafirishaji na pia bandari waendelee kuongezeka.
Source : DigitalDodoma
By Rex Chikoko in Dar Es Salaam, Tanzania
Tanzania government has warned Malawi Government that it will stop the country from operating Malawi’s cargo centre if Lilongwe continues underutilising the port and not rehabilitating it to the international standard.
This was disclosed in Dar es Salaam in Tanzania when Minister of Energy Ibrahim Matola and members of Natural Resources and Climate Change Parliamentary Committee visited the cargo centre Friday.
Being a landlocked country, Malawi relies on its neighbours such as Mozambique and Tanzania for their ports.
Government resorted to using Tanzania as its offshore port; hence, it was given land by the Tanzania government to enable a private consortium – Malawi Cargo Centres Limited (MCCL) – to build tanks at Mbeya and Dar es Salaam.
Previously, government and the consortium were responsible for the maintenance and rehabilitation of the centres but, in 2018, Public Private Partnership Commission reviewed the agreement and transferred the responsibility to the conglomerate.
The consortium, under a lease agreement, charges government to use its properties.
MCCL Chief of Operations Godfrey Chipala told the Malawi delegation that the Tanzania government has written MCCL asking it to rehabilitate the facility’s pipelines to arrest pipe bursts that are resulting in oil spills into the ocean or the Malawi dry land port risks closure.
He said in the letter the Tanzania government said the cargo centre poses a threat to the port of Dar es Salaam or even the entire city as the petrol leaks, that are frequent due to the aging of the facilities, can result in catastrophe if they catch fire.
“The lifecycle of the pipes, for example, is 20 years; however, the current facility is over 32 years old. We have been experiencing frequent pipe bursts. We ask government of Malawi to rehabilitate these facilities or the government of Tanzania will be forced to stop us from operating,” he said. Instillation
MCCL Managing Director Patrick Jere said the country hardly uses the port, a thing that concerns the Tanzanian government and has since asked Malawi to take leadership in utilising the port.
At the time of the visit, the fuel tanks, with a holding capacity of 20 million litres, had 15 million litres, of which paltry two million was for Malawi while the larger part was destined for Rwanda and Democratic Republic of Congo (DRC).
The warehouse for the dry cargo was full with copper from DRC and most part of the warehouses were sublet to other private companies.
Chairperson of the parliamentary committee Werani Chilenga said what was important for government is to take over the operation of the port which currently is in the hands of the private companies with 82 per cent shares and government through National Oil Company of Malawi (Nocma) holding 18 per cent.
Nocma Deputy Chief Executive Officer Helen Buluma said the proposal was on the table that the loan, about $2 million, which Nocma extended to MCCL for the rehabilitation of the fuel tanks be converted to shares so that government can start gaining ownership of the cargo centres.
Buluma said Malawi needs the tanks at the moment to be keeping buffer fuel as the commodity price is raising due to war in Ukraine.
“We are pushing to create stocks in Dar es salaam and Beira,” she said.
Matola said government was aware it was not getting the best of the facility, saying it will be embarrassing to the country if Malawi loses the facility that was donated by the Tanzanian government in the spirit of pan- Africanism.
“I ask the cargo centres to abide by the requirements of the Tanzanian government,” Matola said.
During their trip to the ports in 2017, members of the Parliamentary Committee of Natural Resources and Climate Change learnt that the fuel tanks could help save and make money for government.
For instance, the non-usage of the tanks at Mbeya contributes to high fuel cost as transporters move the commodity from Dar es Salaam to Lilongwe, a distance of about 1,500 kilometres.
Construction of the facility started in 1989 and ended in 1991.
However, it was decommissioned in 2015 to pave the way for rehabilitation works before being reopened in 2018.
Source : https://times.mw/malawis-tz-port-risks-closure/?amp=1
Binafsisha hizi BANDARI, naona zinatupa shida kubwa kuziendesha au recruits freshers kutoka University, peleka wachache pale Durban, Capetown, Rotterdam, Botswana (dry port)wakajifunze kwa 24mth kuhusu uendeshaji wa hizi bandari, na ajira mpya zifanyike yaani we need to start upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.