Rais Samia atengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Wakurugenzi wa TTB na NCAA

Rais Samia atengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Wakurugenzi wa TTB na NCAA

Kiiza kadumu katika nafasi ya Commissioner Mkuu Ngorongoro miezi mitatu katunguliwa.

Kiiza kaenda NCAA na dereva wake, Secretary wake na Mlinzi wake wote kutokea TANAPA na wote wahaya wenzake.

Leo kaondolewa sijui wapambe wake wataenda wapi,wataweka wapi nyuso zao.
Ataondoka nao wote, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom