Mikwaju ya mama
KineumanaLeo kwenye mitandao kumesambaa habari za tukio la kigogo mmoja huko Mafia kubaka mtoto wa miaka 16.
At the same usiku huu imetoka press ya Zuhura Yunusu kwamba Mhe. Rais ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Huko Mafia....
Je, anahusika au alishiriki kuficha uovu?
Unataka uteuliwe wewe?Halafu atateua mwingine boya kama huyo , mnatusumbua tu
Lucas MwashambwaHii nafasi apewe Yule Jamaa chawa anaemsifia mama anaeeka namba ya simu chini
Kumbe walimu huwa tunakumbukwa?Ni aibu kubwa kwa makada hawa wa chama dola kongwe.
Mwl. Kassim S. Ndumbo
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 31 Julai, 2021
Hongera Raisi na uamuru kesi ya tuhuma zake iendee sio kuizima.Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
View attachment 2967743
Leo kwenye mitandao kumesambaa habari za tukio la kigogo mmoja huko Mafia kubaka mtoto wa miaka 16.
At the same usiku huu imetoka press ya Zuhura Yunusu kwamba Mhe. Rais ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Huko Mafia....
Je, anahusika au alishiriki kuficha uovu?
Mimi siyo boyaUnataka uteuliwe wewe?
Uboya unaonekanaje bila ya kufanya kosa?!!!Halafu atateua mwingine boya kama huyo , mnatusumbua tu