ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Raha ya karma hii Sasa,huyu Mwl atakuwa alizoea kula wanafunzi Sasa hivi karma imejibuNi aibu kubwa kwa makada hawa wa chama dola kongwe.
Mwl. Kassim S. Ndumbo
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 31 Julai, 2021
Dkt. Gwajima D anaweza kuwa anakomaa na vidaaga tu. Kama ni kweli tupe mkakati wa kumwajibisha DED wa CCMCC:Waziri Gwajima
Tungependa Kuona Sana Sana Comment Yako Chap Na Kauli Ya Serikali
Unajua bila ya Mwanachadema Boniphace Jacob kutag Gwajima hiyo ishu ilikuwa imeshakwisha... Au huko Mafia nzima hakuna CCM?Wewe n
Wewe ni mjinga sana,yani umekaa hapo Mbezi Msumi unahisi nchi yote imelala,chadema inakalia kuandamanisha wehu wenzao,miradi mipya ni kama Ujenzi wa nyumba za wafanyakazi,
kajamaa Fulani hivi kafupi fupi,kashamba FulaniPossibly
Huyo jamaa ana age gani labda ni kijana sana
Au anatokea visiwani
Kwa hili ninakubaliana na wewe,ninachopinga ni uzushi usio na ushahidi,kuibua maovu ni hulka ya mtu,maana yake ni kuwa tunatakiwa kuwa na data mara nyingi tunapotoa hoja zetu,propaganda ziwe chache.Unajua bila ya Mwanachadema Boniphace Jacob kutag Gwajima hiyo ishu ilikuwa imeshakwisha... Au huko Mafia nzima hakuna CCM?
Bandiko la Jacob linaonesha kuwa jambo hili lilikuwa linajulikana ila DED akawa analindwa. Sasa wana CCM ilikuwaje walikaa Kimya wakati taarifa kwamba DED kabaka walikuwa nazo?
Kama ni kweli huyo Mkurugenzi ni MpumbavuLeo kwenye mitandao kumesambaa habari za tukio la kigogo mmoja huko Mafia kubaka mtoto wa miaka 16.
At the same usiku huu imetoka press ya Zuhura Yunusu kwamba Mhe. Rais ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Huko Mafia....
Je, anahusika au alishiriki kuficha uovu?
Kawekewe picha ili tukikaona tukapishe mbalikajamaa Fulani hivi kafupi fupi,kashamba Fulani
kamekomaa