Hongereni wananchi wa Babati.
Haki imeshinda,Umoja wenu ndiyo ulinzi wenu sasa mtuhumiwa wetu yupo katika mikono salama ya Jeshi la Polisi Tz.
Jaribio lake la Kutoroka mkono wa sheria limezimwa na Wananchi na sasa Polisi wamemtia mbaroni mualifu wetu.
Sasa anachukuliwa MAELEZO YA ONYO katika Ofisi za RCO,Manyara
Pauline Gekul alipanga kutokea Nairobi,Kenya [emoji1139] leo alfajiri baada ya jana Gekul kupata taarifa za kutaka
1.kushtakiwa na 2.Kufukuzwa uanachama wa CCM Wilayani Babati.
Umoja mlio onyesha wananchi wa Babati usiishie hapo tu.
Jutitokeze Kwa wingi Mahakamani ili haki iweze Kuonekana ikitendeka.
Najua Babati inafuraha kama imepata uhuru tangu Jana,lakini tuendelee na kazi ya doria.
Ukatili na ualifu dhidi ya utu unapaswa Kupingwa na dini zote,Itikadi zote na jamii yote mahala popote.
View attachment 2826267
Sent using
Jamii Forums mobile app