Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Rais wa awamu ya sita Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amenyamazisha simulizi za kukata tamaa zilizotolewa na Vijana wengi waliokosa fursa ya kujiendeleza kimasomo, kutokana na ukosefu wa Vyuo vya kutosha katika Mkoa wa Rukwa na Mikoa jirani.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa kiasi cha shilingi Bilioni 4, kwa ajili ya Ujenzi wa Chuo cha Ualimu Sumbawanga, ambacho tayari ujenzi wake umekamilika na tayari kimepokea Wanafunzi.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa kiasi cha shilingi Bilioni 4, kwa ajili ya Ujenzi wa Chuo cha Ualimu Sumbawanga, ambacho tayari ujenzi wake umekamilika na tayari kimepokea Wanafunzi.