Rais Samia avunja rekodi ununuzi wa ambulance na magari ya Chanjo

Hivi kwanini unapenda kufufua Old news bila mantiki?Nyuzi hufufuliwa kama rejea Kwa kuhusianisha na current issues!
Unachofanya ni kutunyima fursa ya kuona mabandiko mengine hasa Kwa sisi ambao tukiingia JF tunaangalia page ya kwanza tu!
Kwako ni Old kwa wengine ni "New"
 
Mkuu kama watu wengine wakiamua kazi ni Moja tu,kila saa kufukua nyuzi za zamani zenye mlengo Fulani, jukwaa hili litakuwa la ajabu sana!
Mkuu nyuzi zangu ni " Analytical " yaani kila siku ni mpya,

Ndio maana huwezi kukuta mimi nadeal na habari za msimu,

Uzi wangu unaweza ishi hadi miaka 10 ijayo,

Jaribu kunifuatilia kwa umakini mkubwa,
 
Mkuu nyuzi zangu ni " Analytical " yaani kila siku ni mpya,

Ndio maana huwezi kukuta mimi nadeal na habari za msimu,

Uzi wangu unaweza ishi hadi miaka 10 ijayo,

Jaribu kunifuatilia kwa umakini mkubwa,
Sina muda wa kukufuatilia,ila ninachosema Huo mchezo unaofanya sio afya Kwa jukwaa letu pendwa!
Unakuta unafufua Uzi,unajikuta ni wewe pekee umecomment siku hiyo!Kesho unarudia Tena kuufufua,kesho kutwa hivyo hivyo!Acha habari mpya zije,kama unazo habari mpya leta tutachangia!
Sasa magari yameshanunuliwa,unataka tujadili mwaka mzima magari yaliyokwishanunuliwa?
Magufuli aliweka record yake Kwa kununua ndege,zikavuta hisia za watu sana!Je,unaona nyuzi za ununuzi wa ndege zikifufuliwa hapa kila wakati?Watu wafufue nyuzi za ndege, ujenzi wa Barbara,madaraka,vivuko,hospitali,zahanati,maji,umeme NK!Hili jukwaa litakuwa la namna gani?
Lete vitu vipya,ikitokea Kuna uhusiano wa mazingira ya Sasa na tukio lililowahi kurepotiwa hapa JF,ndio uende kufufua Uzi na uoneshe uhusiano Huo!
 
Bahati mbaya sana mimi nathamini sana "Viewers " sio commentetous so kila mtu ashinde mechi zake,

Am The One nafanya Uzalendo kwa vitendo kwa nchi yangu humu JF,

NAJUA CHADEMA TUMEWAKABA SANA KWA HOJA HAPA SO LAZIMA MTANGETANGE
 
Miaka mitano ya Mama Samia, Tutakuwa mbali sana,
 
Bahati mbaya sana mimi nathamini sana "Viewers " sio commentetous so kila mtu ashinde mechi zake,

Am The One nafanya Uzalendo kwa vitendo kwa nchi yangu humu JF,

NAJUA CHADEMA TUMEWAKABA SANA KWA HOJA HAPA SO LAZIMA MTANGETANGE
CHADEMA anataka kumwelekeza CCM cha kufanya, Hatari tupu
 
Umenena vyema
 
Rais Samia avunja record ya kuhamasisha ufisadi kwenye Taifa tena kupitia TV ya TaifaπŸ’πŸ’πŸ’
View attachment 2101140
Kwani wewe jamaa ni kilaza sana kiasi kiswahili kimekupiga chenga sana au..? Hii methali ya Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake mbona imekuwa ikifundishwa tangu darasa la pili na tafsiri yake kila mtu atakula kilicho halali kwake aubkwa mujibu wa jitihada aliyofanya. Sasa kuna kitu gani kigeni hapo kwenye statement ya SSH? The president was insisting everyone should observe boundaries when acting towards public interest. Simply that.
 
Magnification tu
 
Unachofanya ni kujilazimisha kuwa mpumbavu.

Kwenye hii video ndefu hapa chini Samia anazungumzia jinsi hela za miradi zinavyoliwa na watumishi hadi miradi kukwama(compromised).

Hazungumzii watu kula stahiki zao halali kama vile posho,marupurupu wala stahiki nyingine kama unavyodai.Kumbuka budget ya posho(stahiki halali) ni tofauti na budget ya miradi.Uliwaji wa hela za posho haiwezi kukwamisha miradi.

Samia hapa anazungumzia miradi ya Meli,Bandari,Barabara na mingineyo kukwama kutokana na fedha yake kutafunwa.

Anazungumzia fedha za miradi kutafunwa na kitendo hiki ndicho anachokiita kuwa ni kula hadi kuvimbiwa.

Ndipo akashauri kuwa fedha hizo zitafunwe bila kukwamisha miradi na ndipo kitendo hicho akakiita kuwa ni kujipimia.

Nasisitiza kuwa kwa kuwa budget ya posho ni tofauti na budget ya miradi,utafunwaji wa fedha za posho hauwezi kukwamisha miradi na Samia asingekuwa na haja ya kulizungumzia hilo.

Samia anazungumzia budget ya miradi kutafunwa kwa kuwa kitendo hicho kinakwamisha miradi ndipo akashauri kuwa fedha hizo zitafunwe bila ya kuua miradi moja kwa moja(kujipimia),ndipo mimi kitendo hicho nakiita kuwa ni kuhamasisha ufisadi.

Anachozungumzia Samia hapa ni miradi kukwama kutokana na fedha za miradi kutafunwa.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…