imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sote tunajua Awamu ya tano ilivyokuwa ikiwapora Wafanyabiashara wa Ndani pamoja na kubambikiwa Kodi zenye nia ya kuwafilisi Wafanyabiashara wetu wa ndani.
Kuona hivyo Wafanyabiashara wengi walipekeka Mitaji yao Nchi za Nje.
Ni pesa nyingi ya Watanzania iko Nchi jirani.
Samia awaombe warudishe na kuwahakikishia usalama wa fedha zao.
Thank God Jinamizi limeenda.
Kuona hivyo Wafanyabiashara wengi walipekeka Mitaji yao Nchi za Nje.
Ni pesa nyingi ya Watanzania iko Nchi jirani.
Samia awaombe warudishe na kuwahakikishia usalama wa fedha zao.
Thank God Jinamizi limeenda.