Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa msikiti wa Al Ghaith - Morogoro

Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa msikiti wa Al Ghaith - Morogoro

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Msikiti wa Al Ghaith uliopo eneo la Kilakala Flats, Mkoani Morogoro tarehe 25 Novemba, 2024.

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Msikiti amewasisitiza waislamu kujenga madrasa nyingi zaidi ili kuwapatia watoto mafunzo ya kiimani ambayo yatawawezesha kuwa na jamii zenye maadili.

IMG-20241125-WA0005.jpg
IMG-20241125-WA0007.jpg
IMG-20241125-WA0009.jpg
IMG-20241125-WA0011.jpg
IMG-20241125-WA0013.jpg
IMG-20241125-WA0015.jpg
IMG-20241125-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom