Pre GE2025 Rais Samia aweka Jiwe la Msingi Upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa Tanga Februari 26, 2025

Pre GE2025 Rais Samia aweka Jiwe la Msingi Upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa Tanga Februari 26, 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi Upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa Tanga Februari 26, 2025

1740631915096.jpeg

"Mmenipa heshima kubwa sana kuja kuweka jiwe la Msingi katika Msikiti huu wenye historia kubwa na ya muda mrefu hapa Tanga na Afrika Mashariki kwa ujumla"

1740631946124.jpeg

"Niwashukuru sana kwa maneno mazuri mliyoyasema juu ya serikali yenu na kwa dua mliyoniombea leo, ambazo mlikuwa mkiniombea na mkituombea mara kwa mara sisi viongozi na Taifa kwa ujumla, mimi ninaamini kwa dhati ya moyo wangu kwamba dua zenu njema viongozi wa dini na waumini wote pamoja na juhudi zetu Serikali, zinatusaidia sana kuendelea kutuweka pamoja kama Taifa"

"Ni shukrani maalumu kwa wenzetu wa Lake Group kwa kujitolea kuweka nguvu zao katika ujenzi wa Msikiti ambao nimeuwekea jiwe la msingi"

"Tuna mipango mikubwa sana kwa Mkoa wa Tanga, lakini kama mipango hiyo itakuta vijana wameshaathirika na dawa za kulevya, haitakuwa na maana. Tuendelee kushirikiana na Serikali kupambana na biashara hii haramu inayowaathiri vijana wetu."
 

Attachments

  • 1740631902555.jpeg
    1740631902555.jpeg
    370.8 KB · Views: 1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Tanga mjini tarehe 26 Februari, 2025.

20250227_000014.jpg
20250227_000016.jpg
 

Attachments

  • 20250227_000013.jpg
    20250227_000013.jpg
    335.7 KB · Views: 1
  • 20250227_000019.jpg
    20250227_000019.jpg
    423.8 KB · Views: 2
Sijui nguvu za kuingia nyumba za ibada anapata wapi huyu mtu,
 
Back
Top Bottom