Rais Samia azungumza na Wananchi kwenye mkutano wa Hadhara viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mkoani Katavi, leo Julai 13, 2024

Rais Samia azungumza na Wananchi kwenye mkutano wa Hadhara viwanja vya Azimio Mpanda Mjini mkoani Katavi, leo Julai 13, 2024

Sijui.kwanini hata hamu ya kumsikiliza sina!sijui nimerogwa sijui sijaridhika wakati mimi ni comrade kabisa!!

Najishangaa kabisa!!

Zamani wakati wa chuma hata kama alikua anatuudhi namna gani lakini akiongea unamsikiliza unahisi Kuna jambo jipya litamtoka!!

Sasa sijui mama yangu kawaje hata kumsikiliza hamna kabisa ham!!ni mvuto Hana au ni nini!!?

Mungu atusamehe kwakweli!
 
Sijui.kwanini hata hamu ya kumsikiliza sina!sijui nimerogwa sijui sijaridhika wakati mimi ni comrade kabisa!!

Najishangaa kabisa!!

Zamani wakati wa chuma hata kama alikua anatuudhi namna gani lakini akiongea unamsikiliza unahisi Kuna jambo jipya litamtoka!!

Sasa sijui mama yangu kawaje hata kumsikiliza hamna kabisa ham!!ni mvuto Hana au ni nini!!?

Mungu atusamehe kwakweli!
Kuna vitu vingine huwa vinakuja vyenyewe tu Mkuu. Havihitaji kulazimishwa. Sasa utapataje hamu ya kumsikiliza mtu ambaye ni kana kwamba hana muda na wanyonge?
Hayati utamsema kwa mengine, lakini aliwapenda na kuwajali sana wanyonge tofauti na huyu aliyepo.
 
Back
Top Bottom