Wewe ni dereva wa hovyo yaani sisi ile kona tunapita na Lori tipper imejaa kifusi zaidi ya 18tonnes na hatuchekechi,yaan cruiser ishindwe kumaliza kona?Ebu fatilia aina ya dereva wanaosabisha ajali eneo lote hifadhi;Wengi ni madereva wasiokuwa na uzoefu wa eneo husika wengi wao upewa kazi za muda na wenye makampuni hasa kipindi cha high season ambapo madereva wazoevu ni adimu hasa ukanda wa kaskazini,so kinachofanyika matajiri wapo tayari achukue dereva yeyote mtaani ilimradi anajua lugha mojawapo ya kigeni ya kuzungia na driving ya mtaani ilimradi hasikose pesa ya wageni.Hawa ndo wale uwa tunawakuta wanachekecha kwenye hiyo kona kali wakti kona hiyo tunapita na malori makubwa bila hata kugusa ukuta,