DOKEZO Rais Samia, Barabara ya Ngorongoro Crater ni mbovu, Watalii wanapata ajali mara kwa mara

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hata kama nature ina hatarisha uhai wa watu??
Wewe ni dereva wa hovyo yaani sisi ile kona tunapita na Lori tipper imejaa kifusi zaidi ya 18tonnes na hatuchekechi,yaan cruiser ishindwe kumaliza kona?Ebu fatilia aina ya dereva wanaosabisha ajali eneo lote hifadhi;Wengi ni madereva wasiokuwa na uzoefu wa eneo husika wengi wao upewa kazi za muda na wenye makampuni hasa kipindi cha high season ambapo madereva wazoevu ni adimu hasa ukanda wa kaskazini,so kinachofanyika matajiri wapo tayari achukue dereva yeyote mtaani ilimradi anajua lugha mojawapo ya kigeni ya kuzungia na driving ya mtaani ilimradi hasikose pesa ya wageni.Hawa ndo wale uwa tunawakuta wanachekecha kwenye hiyo kona kali wakti kona hiyo tunapita na malori makubwa bila hata kugusa ukuta,
 
Mjipange tu matour guide mpange siku mkaichonge tu
 
Waweke mtu maalumu akae pale awe anachekecha
 
Waweke mtu maalumu akae pale awe anachekecha
Sema kuna madogo uwa wanajielewa sana akiona mambo yanakuwa magumu uomba msaada getini anawadanganya wageni kuwa kule crater anaetakiwa kuendesha ni guide wa Ncaa, hivyo akifika ofisi ya zamani anajieleza hali yake ya driving kuwa hajawahi kushuka crater wa kupanda ila hataki wageni wajue hilo kulinda kibarua so anaomba msaada wa kupewa dereva kurescue hali tena bure labda akiamua asante.So kwa madogo wenye akili nyingi utumia njia hii,so kwa mara ya anajifunza kushuka na kupanda yeye akiwa kushoto na kazi inaendelea bila hata kuharibika na wageni bila kusanuka au boss wake kujua.But wale wajuaji ndo wote hao waleta balaa.Make ile kona ni kali kwa mtu akiiona ghafla hii hapa na ukuta huu ghafla anachanganyikiwa na kuingia mtero.Wakati kona hiyo eneo kubwa lilopanuka kushoto ili kuitafutia angle ya ukuta inabidi uibie kushoto kidogo huko umeweka 4WD kuanzia chini na hapo unapita na mbili yako taratibu bila kuchekecha wala ngao kugusa ukuta.
NCAA ina watumishi wana roho hakuna mtu anaeweza kukunyima huduma hii ya kukusaidia kupanda na kushuka huku akikufundisha ili next term ujitegemee ukiwa mwenyewe.Sema ma guides mmelishwa matango pori juu ya watumishi wa mamlaka mnawachukia bure mwisho mnashindwa kuwaomba msaada ambao ni haki yenu,badilikeni jamani tukuze utalii wote
 
 

Attachments

  • 4404A3B9-98FE-4965-90DE-5A96338B4ADB.jpeg
    68.7 KB · Views: 6
Wakuu hii kitu izingatiwe kuwa tulilia na Serikali na barabara nyingi ktk hifadhi na hasa Ngorongoro Crater zimefanyiwa maboresho Makubwa.
Hongera Mamlaka ya NCAA kwa kusikiliza Kilio Chetu wadau wa Sekta ya Utalii.
Mama anaupiga mwingi.
 
Kumbe huwa tunalishwa matango wanaposema Utalii unalipa, sasa hata barabara wanashindwa kutengeneza halafu kila siku wanachukua $$$$ zinaishia mifukoni ama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…