Rais Samia: Bila kuleta katiba mpya na demokrasia nchini historia yako itasahaulika haraka sana

Rais Samia: Bila kuleta katiba mpya na demokrasia nchini historia yako itasahaulika haraka sana

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Binadamu hasa hawa vijana wanasahau kila siku. Kama Rais Samia asiko tumia muda wake vizuri kwa mambo yanye faida na historia za kitafia atabaki ya majumba na pesa kwake na familia yake lakini nafsi yake itamsuta na Watanzania watamsahau haraka kama Kikwete.

Kama anataka kuacha historia ya kudumu na kukumbukwa ni lazima afanye vitu ambavyo vina manufaa kwa taifa na sio mambo ya uchumi ambayo anaweza kuja mwingine akabadilisha. Rais Samia usipo julikana kwa katiba nzuri na demokrasia utakumbukwa kwa matukio yalijitokeza kama mauaji, utakaji, rushwa na ubinafsi.

Usije kufikiri support ya Lissu inatoka Chadema pekee sio hivyo ni watu waliochoka minyanyaso. Hawa watu watakuwepo Chadema ikiwepo na isipo kuwepo na watachukuwa sheria mikononi

Iko siku sio mbali wananchi ndiyo watakuwa na nguvu kuliko machawa. Hivyo ushauri wangu tenda mema ikiwa ni pamoja na kuanzisha mifumo imara na ya haki ili kiongozi yeyote akija siwe mfalme au malikia bali awe kiongozi tu na nchi itaendelea zaidi na sera za nchi zitakuwa endelezi.
 
Naunga mkono hoja,lakini unataka aache Autocracy inayompa nguvu ya kutawala Nchi kwa Decree na immunity ya kutoshtakiwa hata akiuuza Mlima Kilimanjaro?

Unataka Bunge lisiwe Rubber stamp yake.

Unataka Mhimili wa Mahakama uwe huru ili Watoto wa Viongozi wanaotembea na mabulungutu ya RUSHWA wafungwe?!

Sijui kama atakuelewa.
 
Raisi Samia: Bila kuleta katiba mpya na demokrasia nchini historia yako itasahaulika haraka sana
Jinsi ulivyoiandika hiyo title, tafsiri yake ni kwamba hayo maneno mbele ya colon yametamkwa na SSH
 
Alielekezwa kufanya hivyo na wale jamaa wawekao watawala kwenye nchi!yaani katiba iandikwe tangu 2022 ,yeyeakasena ni kijitabu tu!

Anashangaza sana!

Hats hivyo kazi iendelee hivvyo hivyo!!
 
Binadamu hasa hawa vijana wanasahau kila siku. Kama Rais Samia asiko tumia muda wake vizuri kwa mambo yanye faida na historia za kitafia atabaki ya majumba na pesa kwake na familia yake lakini nafsi yake itamsuta na Watanzania watamsahau haraka kama Kikwete.

Kama anataka kuacha historia ya kudumu na kukumbukwa ni lazima afanye vitu ambavyo vina manufaa kwa taifa na sio mambo ya uchumi ambayo anaweza kuja mwingine akabadilisha. Rais Samia usipo julikana kwa katiba nzuri na demokrasia utakumbukwa kwa matukio yalijitokeza kama mauaji, utakaji, rushwa na ubinafsi.

Usije kufikiri support ya Lissu inatoka Chadema pekee sio hivyo ni watu waliochoka minyanyaso. Hawa watu watakuwepo Chadema ikiwepo na isipo kuwepo na watachukuwa sheria mikononi

Iko siku sio mbali wananchi ndiyo watakuwa na nguvu kuliko machawa. Hivyo ushauri wangu tenda mema ikiwa ni pamoja na kuanzisha mifumo imara na ya haki ili kiongozi yeyote akija siwe mfalme au malikia bali awe kiongozi tu na nchi itaendelea zaidi na sera za nchi zitakuwa endelezi.
MWENYE AKILI ATAKUWA AMEKUELEWA maana umegusa matamanio ya watanzania wengi, WATZ tumechoka kudanganywa na dhana ya kuletewa maendeleo ili tuendelee kwenye ubaguzi na matabaka.
 
Tutamkumbuka kutekwa,kuteswa,kupotezwa na kuuwawa kwa wapinzani, mauaji ya Mzee Kibao yatabaki kuwa moja ya alama za utawala wake.
 
Binadamu hasa hawa vijana wanasahau kila siku. Kama Rais Samia asiko tumia muda wake vizuri kwa mambo yanye faida na historia za kitafia atabaki ya majumba na pesa kwake na familia yake lakini nafsi yake itamsuta na Watanzania watamsahau haraka kama Kikwete.

Kama anataka kuacha historia ya kudumu na kukumbukwa ni lazima afanye vitu ambavyo vina manufaa kwa taifa na sio mambo ya uchumi ambayo anaweza kuja mwingine akabadilisha. Rais Samia usipo julikana kwa katiba nzuri na demokrasia utakumbukwa kwa matukio yalijitokeza kama mauaji, utakaji, rushwa na ubinafsi.

Usije kufikiri support ya Lissu inatoka Chadema pekee sio hivyo ni watu waliochoka minyanyaso. Hawa watu watakuwepo Chadema ikiwepo na isipo kuwepo na watachukuwa sheria mikononi

Iko siku sio mbali wananchi ndiyo watakuwa na nguvu kuliko machawa. Hivyo ushauri wangu tenda mema ikiwa ni pamoja na kuanzisha mifumo imara na ya haki ili kiongozi yeyote akija siwe mfalme au malikia bali awe kiongozi tu na nchi itaendelea zaidi na sera za nchi zitakuwa endelezi.
Hata Kikwete Tuliwaambiaga habari kama hizi kwamba kama atataka watu wamkumbuke vyema katika Legacy yake basi ahakikishe inapatikana Katiba mpya bora !

Lakini mambo yakawa ndivyo sivyo !
Now it’s too late ⏰ !
 
Back
Top Bottom