GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kabisa!Lakini Jamaa alikua anasisitiza kabisa,kua haya ni maelekezo ya Dr Samia amenituma nisimamie haki za watu, sasa kama kuna watu waliweka imani zaidi kwake hilo ni tatizo lao!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa!Lakini Jamaa alikua anasisitiza kabisa,kua haya ni maelekezo ya Dr Samia amenituma nisimamie haki za watu, sasa kama kuna watu waliweka imani zaidi kwake hilo ni tatizo lao!!
Kwani mteuaji anaangalia hilo?? Wangapi walishashindwa kazi miaka mingi lakini kila pangua pangua hawaguswi?!!Slaa kama ni Waziri mzuri atafanya kazi huko huko na ataonekana tu