Rais Samia, Dkt. Ayub Rioba Chacha anafanya nini TBC?

Rais Samia, Dkt. Ayub Rioba Chacha anafanya nini TBC?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha hadi sasa sijui kaenda kufanya nini TBC.

Kageuzi TBC kama TV ya Chama tawala na anajivunia hilo.

Je, rasi, unaona ni sawa kwa usitawi wa kitaifa?

TBC ni Shirika la Utangazaji Tanzania (zamani: Televisheni ya Taifa ya Tanzania) pia huitwa kwa Kiingereza: Tanzania Broadcasting Corporation ambapo mara nyingi huitwa kwa kifupi TBC, ni chombo cha habari kinachomilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huwa inatangaza habari kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza.

Shirika hili lilianza tarehe 10 Machi mwaka 2000. Makao yake makuu yapo Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

Zamani ilikuwa ikipatikana kwa Tanzania tu, lakini kwa sasa imepanua huduma yake ya urushaji wa matangazo na inapatikani karibuni Afrika nzima.

Kurusha matangazo ya Redio na Televisheni yaliyo katika ubora.
• Kutoa huduma kwa mteja kwa uwazi na usawa na kwa kuzingatia makundi maalum.
• Kuzingatia miongozo ya fedha na kuwalipa wateja wake kwa wakati.
• Kuhakikisha burudani inakidhi viwango vilivyopangwa.
• Kutoa taarifa za matukio mbalimbali kwa wakati na kuzingatia weledi.
• Kuhakikisha lugha inayotumika katika matangazo ni fasaha.

Sijaona wanaposema TBC ni kwaajili ya Habari za Serikali tu au Habari za CCm tu.

Dkt. Rioba bado anapambania tumbo lake sio Nchi yake kwenye kupasha habari. Hafai kuwepo TBC

TBC moja ya jukumu ni kudumisha umoja kwa Watanzania
 
Hadi teuzi zitakapohama kwenda wizara ya utumishi kwa ajili ya kutangazwa na aliyechaguliwa kudhibitishwa na bunge ndiyo mambo haya yatakoma. Nje ya hapo ni kuwa gitaa lako lanyuzi 12 halitasikika pahala popoteeee
 
Kwenye nchi ambazo vyama ama tawala hukaa muda mrefu bila ridhaa ya umma, vyombo vyote vya habari vya umma, na hata vya binafsi hufanya kazi ya kulinda maslahi ya chama ama tawala hizo.
 
😂😂 ni sawa na kuuliza maji yanafanya nini baharini..😂.

It's part of the survival strategy iywtk.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha hadi sasa sijui kaenda kufanya nini TBC.

Kageuzi TBC kama TV ya Chama tawala na anajivunia hilo.

Je, rasi, unaona ni sawa kwa usitawi wa kitaifa?

TBC ni Shirika la Utangazaji Tanzania (zamani: Televisheni ya Taifa ya Tanzania) pia huitwa kwa Kiingereza: Tanzania Broadcasting Corporation ambapo mara nyingi huitwa kwa kifupi TBC, ni chombo cha habari kinachomilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huwa inatangaza habari kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza.

Shirika hili lilianza tarehe 10 Machi mwaka 2000. Makao yake makuu yapo Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

Zamani ilikuwa ikipatikana kwa Tanzania tu, lakini kwa sasa imepanua huduma yake ya urushaji wa matangazo na inapatikani karibuni Afrika nzima.

Kurusha matangazo ya Redio na Televisheni yaliyo katika ubora.
• Kutoa huduma kwa mteja kwa uwazi na usawa na kwa kuzingatia makundi maalum.
• Kuzingatia miongozo ya fedha na kuwalipa wateja wake kwa wakati.
• Kuhakikisha burudani inakidhi viwango vilivyopangwa.
• Kutoa taarifa za matukio mbalimbali kwa wakati na kuzingatia weledi.
• Kuhakikisha lugha inayotumika katika matangazo ni fasaha.

Sijaona wanaposema TBC ni kwaajili ya Habari za Serikali tu au Habari za CCm tu.

Dkt. Rioba bado anapambania tumbo lake sio Nchi yake kwenye kupasha habari. Hafai kuwepo TBC

TBC moja ya jukumu ni kudumisha umoja kwa Watanzania
Pendekeza mtu mwingine ambaye wewe unaona kwamba anafaa kuwa Mtendaji Mkuu huko TBC badala ya huyo Rioba.

Anyway, elimu ya Makaratasi naona ndio tatizo alilonalo Dkt. Rioba, PhD yake Wala haina impact yoyote ile ya maana sana hapo TBC.

Diploma aliyonayo Tido Mhando Ina maana zaidi kwa ku-deliver good and quality services wakati alipokuwa TBC kuliko PhD ya Dkt. Ayub Rioba ambayo imethibitika pasipo kuacha shaka kwamba ni hopeless and extremely poor in delivering any fruitful results.

Diploma ya Tido Muhando ni Bora Zaidi kuliko PhD ya Dkt. Ayub Rioba, shame to him!
 
Kawaida ili uwe mfanyakazi Bora unspaswa kutekeleza majukumu unayopangiwa na mkuu wako wa kazi. Vinginevo ni underperformance
 
Kwa mujibu wa kanuni, Rais ndiye Editor in Chief wa TBC na Magazeti ya serikali. Daily News na Habarileo. So, Rioba hana ubavu wa kwenda kinyume na matakwa ya mabosi.zake.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha hadi sasa sijui kaenda kufanya nini TBC.

Kageuzi TBC kama TV ya Chama tawala na anajivunia hilo.

Je, rasi, unaona ni sawa kwa usitawi wa kitaifa?

TBC ni Shirika la Utangazaji Tanzania (zamani: Televisheni ya Taifa ya Tanzania) pia huitwa kwa Kiingereza: Tanzania Broadcasting Corporation ambapo mara nyingi huitwa kwa kifupi TBC, ni chombo cha habari kinachomilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huwa inatangaza habari kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza.

Shirika hili lilianza tarehe 10 Machi mwaka 2000. Makao yake makuu yapo Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

Zamani ilikuwa ikipatikana kwa Tanzania tu, lakini kwa sasa imepanua huduma yake ya urushaji wa matangazo na inapatikani karibuni Afrika nzima.

Kurusha matangazo ya Redio na Televisheni yaliyo katika ubora.
• Kutoa huduma kwa mteja kwa uwazi na usawa na kwa kuzingatia makundi maalum.
• Kuzingatia miongozo ya fedha na kuwalipa wateja wake kwa wakati.
• Kuhakikisha burudani inakidhi viwango vilivyopangwa.
• Kutoa taarifa za matukio mbalimbali kwa wakati na kuzingatia weledi.
• Kuhakikisha lugha inayotumika katika matangazo ni fasaha.

Sijaona wanaposema TBC ni kwaajili ya Habari za Serikali tu au Habari za CCm tu.

Dkt. Rioba bado anapambania tumbo lake sio Nchi yake kwenye kupasha habari. Hafai kuwepo TBC

TBC moja ya jukumu ni kudumisha umoja kwa Watanzania
Ukisikiliza siku hizi hiyo TBCCM ni kichekesho, hakuna ule uweledi wa lugha ya Kiswahili wa kina Charles Hillary,Tido Mhando,Mikidadi Mahmoud nk wameajiriwa vilaza sifa yao kubwa kuimba mapambio ya Chama na serikali na kucheka Cheka ujinga kuliko Wasafi,Clouds E fm wakitangaza kamari za buku buku mchana kutwa.
 
Back
Top Bottom