Rais Samia, fanya uapisho Alhamis ya April 8, jipe muda wa kupitia CV za wateule wako.

Rais Samia, fanya uapisho Alhamis ya April 8, jipe muda wa kupitia CV za wateule wako.

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Wateule wapya wanaapishwa Jumanne April 6, itakuwa vyemo tarehe isogezwe mbele ili kujiridhisha CV yakila mteule.

Tukumbuke kuwa baadhi ya majina analetewa na washauri wake, wengine wanaleta kwa maslahi binafsi na washauri wengi ni walewale wa awamu zilizopita.

Rais wetu usiwe na haraka, lakini pia nakushukuru kupita mitandaoni, inasaidia na itakusaidia sana.

Usisite kuwawajibisha wanaokuingiza chaka.
 
Mi nashauri achukue hata mwenzi mzima kujiridhisha. Kwa mtazamo wangu Kuna watu wameteuliwa Wana sifa nzuri sana, Ila nafasi walizoteuliwa hawafiti vizuri. Ni Bora apitie vizuri na kumuweka mtu anayefiti katika nafasi yake. Mtazamo tu
 
Wateule wapya wanaapishwa Jumanne April 6, itakuwa vyemo tarehe isogezwe mbele ili kujiridhisha CV yakila mteule.

Tukumbuke kuwa baadhi ya majina analetewa na washauri wake, wengine wanaleta kwa maslahi binafsi na washauri wengi ni walewale wa awamu zilizopita.

Rais wetu usiwe na haraka, lakini pia nakushukuru kupita mitandaoni, inasaidia na itakusaidia sana.

Usisite kuwawajibisha wanaokuingiza chaka.
Kweli mkuu , watu wanataka mharibia mama, this is not fair, fukuza hao washauri uchwara, wanakuchomekea watu ajabu ajabu kufanikisha malengo yao so sad
 
Wateule wapya wanaapishwa Jumanne April 6, itakuwa vyemo tarehe isogezwe mbele ili kujiridhisha CV yakila mteule.

Tukumbuke kuwa baadhi ya majina analetewa na washauri wake, wengine wanaleta kwa maslahi binafsi na washauri wengi ni walewale wa awamu zilizopita.

Rais wetu usiwe na haraka, lakini pia nakushukuru kupita mitandaoni, inasaidia na itakusaidia sana.

Usisite kuwawajibisha wanaokuingiza chaka.
Naunga mkono hoja,mfano hai huu hapa
IMG-20210405-WA0002.jpg
Screenshot_20210405-095757.jpg
 
Back
Top Bottom