Rais Samia: Flexibility siyo kung'ang'ana na Sheria

Rais Samia: Flexibility siyo kung'ang'ana na Sheria

Omulasil

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2015
Posts
8,015
Reaction score
10,269
Wajuzi wajaribu kuelewesha mama leo akiwaapisha ma-RAS na viongozi wengine ameshauri kuwa tusing'ang'ane na sheria tu hadi hata kama mtu amekuja na mtaji wake anashindwa eti kwa kuwa sheria imesema hivyo.

Ukweli Sheria sometime inaondoa utu, ubinadamu na kwenda na muda.

Lakini pia sheria inafaa kwa kutokuwa na double standard au waovu kutumia mwanya kutenda kwa hisia zao.

Nawasilisha
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning), desturi au maadili kwenye utendaji na maamuzi.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua au hajaua, ni kweli ameua ila anaachiwa huru kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.

PRAYERS ZETU:

Mama Samia na yeye kwa upande wake afanya hili jambo kwa mifano hai, afute sheria zote alizoweka Magufuli ambazo hazipo flexible ambazo ni za "KUKOMOA, KUNYANYASA NA KUKANDAMIZA (Raia, Waandishi Wa Habari, Vyombo Vya Habari, NGO, Wafanyabiashara, Kuzuia Takwimu Kuchambuliwa n.k)"
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning) kwenye utendaji.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.
Well said
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning) kwenye utendaji.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua, ila kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.
kama asipoelewa hapa basi tena
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning) kwenye utendaji.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua, ila kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.
Ameua ili kuponya walio wengi, kuua ili kuikomboa nchi au wakati wa kuipigiana vitani dhidi ya udhalimu ni ratio decidendi aspect. Kuua wakati wa ajali etc
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning) kwenye utendaji.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua, ila kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.
Umefunga mjadala mkuu.
 
Mama anaandamwa na kivuli cha Kayafa kutaka kuendelea kutawala nchi ndiyo maana anashindwa kufuta zile sheria dhalimu za Kayafa.Ana laana za Kaka yake Kayafa and she will suffer a lot!

4jHF.jpg
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning) kwenye utendaji.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua au hajaua, ni kweli ameua ila anaachiwa huru kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.

PRAYERS ZETU:


Mama Samia na yeye kwa upande wake afanya hili jambo kwa mifano hai, afute sheria zote alizoweka Magufuli ambazo hazipo flexible ambazo ni za "KUKOMOA, KUNYANYASA NA KUKANDAMIZA (Raia, Waandishi Wa Habari, Vyombo Vya Habari, NGO, Wafanyabiashara n.k)"
Great thinker!
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning) kwenye utendaji.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua au hajaua, ni kweli ameua ila anaachiwa huru kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.

PRAYERS ZETU:


Mama Samia na yeye kwa upande wake afanya hili jambo kwa mifano hai, afute sheria zote alizoweka Magufuli ambazo hazipo flexible ambazo ni za "KUKOMOA, KUNYANYASA NA KUKANDAMIZA (Raia, Waandishi Wa Habari, Vyombo Vya Habari, NGO, Wafanyabiashara n.k)"
Kwakuwa bado mwanzo tunaendelea kumvumilia tukiamini Sheria kandamizi zitarudi Bungeni( shida ni hili bunge) kurekebishwa. Watumishi wengi wa Jiwe wameonesha kwa uwazi kuwa hawakukubaliana naye kwa mengi.
 
Viongozi wa umma wengi hawajui sheria (Law) ndio maana hata utendaji wao wa kazi kila muda una ukakasi. Wanafanya mambo kama wendawazimu.

Sheria ni mkusanyiko wa vitu vitatu,

1) Maadili (Moral & Ethics).

2) Desturi (Custom).

3) Uhalali (Legality).

Kuna wakati sio lazima kufuata sheria moja kwa moja katika utendaji wa kazi, sometimes inahitajika busara (Common Sense/Reasoning), desturi au maadili kwenye utendaji na maamuzi.

Mfano,

Mahakama mara nyingi hutumia theory ya "Reasoning/Common Sense To A Lay Man" (Ratio Decidendi) kwenye kutoa maamuzi.

Unakuta mtu ameua na anashtakiwa kwa kosa la kuua, sheria inakataza vikali kuua na imeweka hukumu kali sana kwa mtu atakaeua, mwisho wa kesi mahakama inamwachia huru mtuhumiwa huyo (Sio bila sababu tu kwamba hana hatia ya kuua au hajaua, ni kweli ameua ila anaachiwa huru kwa kutumia reasoning ya kwanini amefanya hilo kosa - Maybe ameua kwa self defence (Kujihami), maslaughter (Kuua bila kukusudia kama vile ajali), provocation (Uchochezi, mtu alikua provoked kuvuka mipaka), insanity (Kupatwa na wazimu).

Mahakama ingekua inasimamia sheria kama sheria inavyotamka, bila kutumia busara na hekima kwenye kutoa maamuzi, hata watoto wadogo, vichaa na wendawazimu wangefungwa magerezani (Hata wanaofanya makosa bila kukusudia wangejaa mahabusu).

HICHI NDIO MAMA SAMIA ALICHOMAANISHA - Sheria ipo flexible, viongozi wa umma nao wawe flexible kwenye kufanya maamuzi, waangalie madhara ya maamuzi yao wanaotoa.

PRAYERS ZETU:


Mama Samia na yeye kwa upande wake afanya hili jambo kwa mifano hai, afute sheria zote alizoweka Magufuli ambazo hazipo flexible ambazo ni za "KUKOMOA, KUNYANYASA NA KUKANDAMIZA (Raia, Waandishi Wa Habari, Vyombo Vya Habari, NGO, Wafanyabiashara, Kuzuia Takwimu Kuchambuliwa n.k)"
Umesema vyema. Japo wapo wasio waaminifu hutumia mwanya huo kuamua kwa hisia zao.
Mfano mtu ambaye ni corrupted , asie na moral ethic atatumia mwanya huo kuhujumu pia
Maamuzi yanayochochewa na mihemuko au chuki, mfano kiongozi fulani akiwa sympathized alisema wanaoua albino wauawe, huu ni muhemuko
AU Hakimu anatoa hukumu kwa chuki au mhemuko na kutoa adhabu nje ya sheria ili eti liwe Fundisho kwa wengine

Lakini kama nia uliyoiwasilisha ingekuwa kwa wote flexibility inahitajika ili mambo yaende
Kuhusu JPM siwezi ongea , maana hayo Maneno umetumia sina ushahidi nayo kuwa alikuwa anayafanya nje ya sheria i.e
KUKOMOA , KUNYANYASA NA KUKANDAMIZA
Mfano kama mfanyabiashara amekwepa kodi ya mabilioni tena ukwepaji uliopangiliwa i.e wa Makusudi. akaunti yake ikishikiliwa ni UKOMOAJI?
Au Mwandishi anayeliripoti taarifa kwa mkutadha wa uchochezi au ubaguzi wa ukanda au ukabila na kupanda mbegu za migawanyiko chombo chake au yeye mwenyewe akishikiliwa ni UNYANYASAJI?
Kwa kuwa sina ushahidi alivyofanya jpm , ndio maana hata hayo ninajiuliza tu, sio maudhui yangu
 
Back
Top Bottom